Wadau nahitaji msaada wa kupata nafasi ya kuhamia kutoka halmashuri ya wilaya kwenda taasisi/ mashirika ya umma. Nina shahada ya uhandisi mitambo (mechanical engineering) pamoja na Sitashahada ya uhandisi migodi (mining engineering). Naomba msaada kwa mdau aliye na connection ya kuniwezesha...
Katika ule mkeka wa ajira 13,000/= waliajiri engineers 16 kila shule ya ufundi lengo kuzifufua.. ila serikali imewavunja moyo vijana hao kwa kuwalipa mishahara sawa na ya ualimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.