Recent content by Mine eyes

  1. Mine eyes

    GE2025 Ummy Mwalimu: Wajibu wetu ni kuheshimu taratibu za Chama, tumuunge mkono Kassim Amar Mbaraka na Rais Samia

    Labda atapata kwenye teuzi.. .ila kuna sehemu alijichanganya.. ..
  2. Mine eyes

    Hatimaye ana kwa ana na wapiga doria mitandaoni. Yapigwaje hiyo? Au ni hawa ndugu zetu wenye ID ishirini ishirini?

    Woga wa kupitiliza... .. Kama ni kweli basi wana mbinu za kishamba .. .. bablai!
  3. Mine eyes

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    Mmh! Wali mumu..!
  4. Mine eyes

    Ndoa imenizawadia kiharusi

    Pole sana mkuu... Naamini utapona majeraha ya moyo na maumivu ya mwili... Unatakiwa ujihurumie wewe kwanza kwa kupambania afya yako, na kama vipi mtengane tu.. japokuwa tumesikiliza upande mmoja lakini ushauri wa jumla ni kuepuka maumivu! Shkamoo mapenzi... ..kuna mtu alifungwa, na kupoteza...
  5. Mine eyes

    Hitimisho la Kesi: Final, Nimemalizana na ishu za mahakama Kuhusu Talaka

    Congole sana.. .. una busara na hekma ..na unajua namna ya kucheza ngoma kufuatisha mapigo.. MMungu .. .. akubariki na akupe hitaji la moyo wako mkuu!
  6. Mine eyes

    Msaada: Kijana wangu anaongea vitu havieleweki, atakuwa na tatizo gani?

    Angalia vizuri .. isije kuwa ni muendelezo wa uongo anakufunga kamba .. ..kwa kukufanya ushindwe kumuelewa.. ..ili apumue na usumbufu wako!
  7. Mine eyes

    PreGE2025 Dar: Method Damian Kumdyanko adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakiwa na silaha

    Mungu anahusika na kifo tu..maana alitoa onyo na baadae akatoa tangazo kwamba tutakufa.. .lakaini hahusiki na namna au jinsi utakavyo kufa ... ndio maana mtu akiua anahukumiwa kifo kwa vile kafanya kosa la kuua!.. hapa duniani na mbinguni!.. kama angekuwa anahisika na namna ya kufa .basi anayeua...
  8. Mine eyes

    PreGE2025 Dar: Method Damian Kumdyanko adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakiwa na silaha

    Hiyo sheria iliwekwa kipindi cha magu ? .. ..Hiyo task force kama ingekuwa haitakiwi au kuhitajika isingekuwepo kitambo tu.. ..
  9. Mine eyes

    Kwanini baadhi ya wanawake huwa katili na wenye roho mbaya?

    Ushawahi Kuna maumivu au matokeo ya athar .. vinaishi.. bila hata kushikiliwa.. Mh!.. ..kuna watu wamewiva hadi maini.. ..
  10. Mine eyes

    Wanaume waleo vs wanaume wa zamani

    Anasingizia kafiwa umuazime pesa.. ..
Back
Top Bottom