Recent content by mindpower

  1. mindpower

    JamiiForums Tanzania Kosea kote ila usioe anayevaa au aliyewahi kuvaa hivi

    Wengi wao hata kupika hawajui! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mindpower

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu coronavirus kuua zaidi Ulaya na Marekani

    Italy na Roma et? vipi Iran na Tehran? Uko so stupid! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mindpower

    JamiiForums Tanzania Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

    Udini mtupu hakuna uzalendo hapo! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mindpower

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uraibu wa kukumbatia mito

    Madhara ya usingo hayo! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mindpower

    JamiiForums Tanzania Naomba picha ya vidonge vya ARV vya kisasa nijiandae kisaikolojia

    Bora kufa, hii midawa ya nini
  6. mindpower

    JamiiForums Tanzania Lile tambiko wachina walilotambikia pale daraja la Sam Nujoma sio la nchi hii

    Ungepiga picha mkuu, au walikataza?
  7. mindpower

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Anakunywa pombe sana baada ya msichana kagoma kuwasiliana naye

    Mwache anywe pombe za kutosha, ili awe strongman, pombe itamfanya awe perfect, pombe itamfanya apunguze mapenzi machozi yaan kulialia kwenye mahusiano, itamfanya agawanyishe mapenz 50% pombe, 50% mahusiono, Wewe kama rafika mshauri tu anywe kistarabu, bia+supu+ ugali nyama choma, Akizoea pombe...
  8. mindpower

    JamiiForums Tanzania Hakimu kesi ya Abdul Nondo agoma kujitoa kuisikiliza; adai sababu za kutakiwa kujitoa hazina msingi

    Haka kadogo nakaonea gele kanavyoiva vizuri na mambo makubwa ya kitaifa!
  9. mindpower

    JamiiForums Tanzania Serikali yaondoa zuio kuuza mazao nje ya Nchi

    Kutapatapa nako sio kuzuri! Sababu za kufunga zilikuwa nini?
  10. mindpower

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wa siku hizi hawajui kupigana kabisa

    Ukiona mtu bado unafikra ya kufumania, au kulumbana na mwanaume mwenzie kwenye simu, au ana kwa ana kisa mke au mpenzi ujue mwanaume huyo ni maskini sana wa kifikra, maskni wa kifedha, mshamba na dunia ya Leo!
  11. mindpower

    JamiiForums Tanzania Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

    Hizi ni kiki za forex kuitangaza, na kumtangaza Ontario, inaonekana wamemkubali dogo anapiga kaz vizur, acha wamtangaze kwa wabongo Hizo ndo mbinu za international business
  12. mindpower

    JamiiForums Tanzania NMB nao waja na punguzo la riba toka 22%-19%, wakati CRDB wameshusha toka 21%-17%

    Riba zimeshushwa, Mkopo sawa! Tatizo linakuja ni biashara gani inalipa kwa sasa, nikope??? ? ? ? Hali haisomeki
  13. mindpower

    JamiiForums Tanzania The Africans: Mbona hatuna historia ya watu kama hawa tangu dunia iumbwe?

    Tatizo nyinyi vitoto vya jujuz taaabu tu hata historia hamsom Genetics unajua? Unajua maana black Africa Unajua maana ya Apartheid policy in SA??? Hao Dutch unajua walitoka wap na wamekaa mda gani? Walifuata nin? Wewe black ukienda China na mkeo cheusi mkaa miaka 80, mkazaa vitoto vyenu vyeusi...
  14. mindpower

    JamiiForums Tanzania The Africans: Mbona hatuna historia ya watu kama hawa tangu dunia iumbwe?

    Ukitaja south Africa, hapo kuna mzungu na African Dutch sio ndugu zako hao, Sawa na Arabs sio ndugu zenu hao Sisi tunataka ubunifu wa black Africans ila ubunifu kwa mtu mweusi ni kaz kama mpaka Leo hii hata choo ni tatizo Mfano Tanga - bado wanakunya vichakani, hiyo nuclear bombs or whatever...
  15. mindpower

    JamiiForums Tanzania Treasure bond and bill: Naomba kueleweshwa maana ya hizi financial terms

    Post kama hizi zinatoa shule tosha, Majibu yanayotolewa humu watu tuliyasomea kwa mamillion ya pesa, Leo hii watu wanayapata kwa mb za jero Faida hizi rais wenu hazijui analeta figusufigisu kufungia mitandao, Stupid Tanzania
Back
Top Bottom