Uraibu wa kukumbatia mito

Uraibu wa kukumbatia mito

Mi nna mdoli mkuuubwa uwa namkumbatia nampenda sana. kuna siku nilimuogesha nilimfua akachelewa kukauka yan hakukauka mana ni mkubwa sana. Usiku nikawa siwez kulala naona kuna kitu kimepungua kitandan basi nikachukua ivoivo nikamfunika nikamkumbatia na unyevunyevu wake.
siku nyingine tumia dildo
 
Fanya upesi uolewe
Mi nna mdoli mkuuubwa uwa namkumbatia nampenda sana. kuna siku nilimuogesha nilimfua akachelewa kukauka yan hakukauka mana ni mkubwa sana. Usiku nikawa siwez kulala naona kuna kitu kimepungua kitandan basi nikachukua ivoivo nikamfunika nikamkumbatia na unyevunyevu wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naandika mada hii nikiamini fika wahanga ni wengi kwenye hili

Ni asili yetu kupenda kukumbatiwa na kukumbatiana hasa nyakati za kulala. Lakini kwa bahati mbaya sana pamoja na uzuri wote wa kumbatio lakini halidumu zaidi ya dakika 30.. Kila mmoja hujikuta akigeukia upande wake na kutafuta usingizi kivyake.

Natambua kuna baadhi yetu wachache waliobahatika bila kukumbatiwa usingizi hauwezi kuja lakini kuna wale ambao upweke kwao ni kama chanda na pete. Hawa ndo wale wenye uraibu wa kukumbatia mito. Kitandani kwake hakosi mito mitatu

Mmoja katikati ya miguu mpaka mapajani
Mwingine kifuani ukiwa umekumbatiwa na mikono

Wa mwisho kichwani

Je, una goma jipya leo? Baada ya chausiku angalia mlalo wake.

Jr
wee mzee uzee wako unakuja kwa utata utata kama shoti ya umeme hizi mada zako zote zinzfikirisha akili au unapiga watu chabo sana kuona maisha yao ya sirini sio bure kabisa.
 
Mi nna mdoli mkuuubwa uwa namkumbatia nampenda sana. kuna siku nilimuogesha nilimfua akachelewa kukauka yan hakukauka mana ni mkubwa sana. Usiku nikawa siwez kulala naona kuna kitu kimepungua kitandan basi nikachukua ivoivo nikamfunika nikamkumbatia na unyevunyevu wake.
Jesus!!
 
Je, una goma jipya leo? Baada ya chausiku angalia mlalo wake.


Jr
 
Naandika mada hii nikiamini fika wahanga ni wengi kwenye hili

Ni asili yetu kupenda kukumbatiwa na kukumbatiana hasa nyakati za kulala. Lakini kwa bahati mbaya sana pamoja na uzuri wote wa kumbatio lakini halidumu zaidi ya dakika 30.. Kila mmoja hujikuta akigeukia upande wake na kutafuta usingizi kivyake.

Natambua kuna baadhi yetu wachache waliobahatika bila kukumbatiwa usingizi hauwezi kuja lakini kuna wale ambao upweke kwao ni kama chanda na pete. Hawa ndo wale wenye uraibu wa kukumbatia mito. Kitandani kwake hakosi mito mitatu

Mmoja katikati ya miguu mpaka mapajani
Mwingine kifuani ukiwa umekumbatiwa na mikono

Wa mwisho kichwani

Je, una goma jipya leo? Baada ya chausiku angalia mlalo wake.

Jr
Nimeelewa hapo uliposema upweke kwetu ni chanda na pete. Ila haina noma



Mwanaume hashindani na sidiria
 
S uىىى زىنىفىى ظىى ى
Naandika mada hii nikiamini fika wahanga ni wengi kwenye hili

Ni asili yetu kupenda kukumbatiwa na kukumbatiana hasa nyakati za kulala. Lakini kwa bahati mbaya sana pamoja na uzuri wote wa kumbatio lakini halidumu zaidi ya dakika 30.. Kila mmoja hujikuta akigeukia upande wake na kutafuta usingizi kivyake.

Natambua kuna baadhi yetu wachache waliobahatika bila kukumbatiwa usingizi hauwezi kuja lakini kuna wale ambao upweke kwao ni kama chanda na pete. Hawa ndo wale wenye uraibu wa kukumbatia mito. Kitandani kwake hakosi mito mitatu

Mmoja katikati ya miguu mpaka mapajani
Mwingine kifuani ukiwa umekumbatiwa na mikono

Wa mwisho kichwani

Je, una goma jipya leo? Baada ya chausiku angalia mlalo wake.

Jr
Bllctfmtbhh b ىزفؤ ثدزززؤهؤرنرزى دىفىرلىظ

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom