Recent content by MINAKI

  1. M

    Rais Samia chunga kauli zako, unamtetea Mzee Makamba kwa kuteleza kauli nawe unarudia yaleyale

    Kwenye Siasa, Hakuna kitu kinachofanyika kwa BAHATI MBAYA.
  2. M

    Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

    Nimewaza hapaaaaa,hivi yule Neema aliemchoma Zungu petrol amehojiwa vizuri kweli,Ukute ndio alihusika na kuchoma soko la Kariakoo
  3. M

    Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

    Nakushauri kwa Moyo mkunjufu na mnyenyekevu, piga moyo konde na endelea na maisha yako huku ukilea watoto wako. Talking from experience, you will thank me later. All the best
  4. M

    Naombeni msaada, Rafiki yangu anaangamia

    Maisha ya ndoa, Mungu awasaidie ambao hawajaingia bado kwenye taasisi hii ya ndoa. Sina mengi ya kuongea, ila nikipata wasaa nitafunguka zaidi.
  5. M

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Kuna jamaa yangu mmoja alijiarika, kufika tuu wakanikarinisha kama watu 20 then wakanipeleka kwenye kachumba flani kwa ajili ya semina! Kwa knowledge yangu ndogo, nikaona natapeliwa soon. Baada ya semina, nikawaahidi nikaitafute pesa ila mpaka Leo ni kama miezi 8 nimemkatia line! Ananipigia...
  6. M

    KIBITI: Mwenyekiti wa CCM, Kata ya Mtunda auawa kwa kupigwa risasi

    Kuna shida kubwa yaja soon Why only Kibiti?
  7. M

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Wasaalam nyote. Shukrani kwa Kibaravumba na nyote mliotoa constructive comments. King kong, sina hizo sifa za kutafuta PM za wadada kama unavyohisi. Baadirisha ur negativity thinking ndugu yangu maana unafkiria watu wote wana tabia kama hizo Nilifanikiwa kuanzisha duka mwezi May baada ya...
  8. M

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Maria, inamaana askari ambaye hana fani yeyote asifungue biashara yeyote katika maisha yake au ndo afungue biashara ya kampuni ya ulinzi?
  9. M

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Shukrani sana Bela na Basat Michango yenu ni muhimu sana na nitaifanyia kazi kwa umakini kwa kufanikisha malengo yangu
  10. M

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Basat na Candid, nashukuruni sana kwa michango yenu. WanaJF, mwenye ideas na views tofauti! Location gani kwa Dar ni nzuri, Risks involvedvi, Opportunity, Strategews. Advise please
  11. M

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Habadi wana JF Nina mtaji wa Tshs. 20M na nimefikiria kuanzisha biashara ya duka la Dawa za Binadamu hapa Dar Es Salaam. Kwa wataalamu na wenye uelewa wa hii biashara, naombeni mnisaidie mnyambulisho wa nini kinachotakiwa kufanyika ili hii Biashara iwe na mafanikio na maendeleo zaidi. Taaluma...
  12. M

    TANZIA: Mbunge wa zamani na Mwenyekiti wa SSRA Siraju Kaboyonga afariki Dunia

    RIP Mzee Kaboyonga. Ulitumikia taifa lako kwa uadirifu wa hali ya juu sana na michango yako kwenye sekta ya Uchumi na Fedha vimesaidia kutufikisha hapa tulipo
Back
Top Bottom