Hata mm kwa reseach yangu ndg nliyoifanya kati ya mashoga 10,8-9 walinyanyaswa kingono wakiwa wadogo tena bahati mbaya na watu wao wa karibu.1-2 wameingia huko kwa kua influenced na mazingira
Wakati niko chuo mkoa fulani nilitambulishwa kwa ndg zang upande wamama wakanitaka likizo fupi nirnde nikaona isewe shida likizo fupi nikaenda aisee nilikoma.Ilikua kama nimemeenda kwenye huhadhara wa dini kila siku ikawa kuipondea dini yangu mpaka siku moja nikawatolea uvivu
Nyingi ni shoga...
Umewaza kama ninavyowaza,ila kinachonishangaza ni viongoz wetu hawaoni mfano hapa Tanga kwenye ujenzi wa bandari kunawachina wengi wamekuja na hawana vibali vya kufanya kazi achilia vya kuishi kinachoshangaza zaidi maofisa wa uhamiaji hawaruhusiwi kuja kukakagua hata wakija wanaishia nje...
Kuna rafiki yangu alikataliwa kazi pamoja n avigezo vyote kisa ni mnene walimuambia atakua anafikiria kula badala ya kazi wahindi na wachina kazi kweli kweli
Me nilijua ni peke yangu ninayekerekwa yaani unakuta wanaleta mtu anapewa air time ndogo kuliko bakia ni matangazo tu jamani semeni kama hy ni radio ya matangazo tuelewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.