Hujajipanga unaishi kwa mazoea ,unapopanga kupata mtoto anza kuweka na pesa kabisa ya kumhudumia utaona raha sana ,ila hili la kusema tu kwa kua hua napata riziki yangu let say daily au monthly kisha ukapiga hesabu za kichwa tu sikosi kumhudumia kwa kuangalia unachoingiza hapo umekosea.habari zenu na waku hii mara ya tatu sasa kabla ya ujauzito mke wangu huwa tuna maisha mazuri ila akiwa mja mzito mipango mingi inadunda na haionekani inakuwa kwangu tu au nawezangu huwa hivi?
Ni either kipato kimepungua au matumizi yameongezeka, ila hakuna uhusiano mwingine kati ya ujauzito na changamoto za kiuchumi.habari zenu na waku hii mara ya tatu sasa kabla ya ujauzito mke wangu huwa tuna maisha mazuri ila akiwa mja mzito mipango mingi inadunda na haionekani inakuwa kwangu tu au nawezangu huwa hivi?
Hahahahah, akiwa hayupo unapigabkazi hadi saa saba usiku, akiwepo lazima saa mbili uwe nyumbani , bingo utapiga wapi?Hilo hata mimi hunitokea mke akiwa mbali huwa napiga bingo atarii ,, akija tu michongo yote inafeli " apo shida sjui ni nn
Matumizi huongezeka nyumba ndogo kutokana na kibano.habari zenu na waku hii mara ya tatu sasa kabla ya ujauzito mke wangu huwa tuna maisha mazuri ila akiwa mja mzito mipango mingi inadunda na haionekani inakuwa kwangu tu au nawezangu huwa hivi?
Hili nalo neno ndo maana matajiri siku izi wanavunja ndoaHahahahah, akiwa hayupo unapigabkazi hadi saa saba usiku, akiwepo lazima saa mbili uwe nyumbani , bingo utapiga wapi?
Naunga mkono hojaHujajipanga unaishi kwa mazoea ,unapopanga kupata mtoto anza kuweka na pesa kabisa ya kumhudumia utaona raha sana ,ila hili la kusema tu kwa kua hua napata riziki yangu let say daily au monthly kisha ukapiga hesabu za kichwa tu sikosi kumhudumia kwa kuangalia unachoingiza hapo umekosea.
Siku ikitokea changamoto yeyote ile unakua umefeli, andaa pesa ata miez saba kabla ya mama kutunga mimba na isiguse uone raha yake ?
Au kwako mkuu mimba zinakuja na mkosi ?
Kwa ushauri zaidi muone dokta manyaunyau mkuuHilo hata mimi hunitokea mke akiwa mbali huwa napiga bingo atarii ,, akija tu michongo yote inafeli " apo shida sjui ni nn
Nitakuchek sheikh.ungekuwa upo dar ingekuwa rahisi kukufikia ungefata fery nampa mtu anakuletea ila sijui ulipo
Mkuu ndoa imemilikiwa na shetani iyo na je kuhusu ugomvi na mke ni salama au upo wa mara kwa maraHilo hata mimi hunitokea mke akiwa mbali huwa napiga bingo atarii ,, akija tu michongo yote inafeli " apo shida sjui ni nn