Ni kweli kuna usumbufu unaosababishwa na baadhi ya watendaji.Lakini hata wewe unapaswa kuhakikisha kuwa unapoegesha gari lako kwa dharura ufuate taratibu na uchukuwe tahadhari ya kiusalama katika eneo hilo kutegemeana na katazo la kuegesha katika eneo husika.
Kwa upande wa wahusika mimi...
Mbona eneo hilo ni mapito ya wanyama (wildlife corridor ) kwa hifadhi ya Taifa ya Manyara na Tarangire?Ni muhimu sana kufikiri matumizi ya eneo hilo isiharibu mapito ya wanyama pori kutoka Ngorongoro,Manyara na Tarangire.
Value-Added Tax (VAT) is a tax on consumer spending. It is collected by VAT-registered traders on their supplies of goods and services effected within the State, for consideration, to their customers.kwishaaaa!!!!
Lakini kuelewa ni rahisi sana!!!mwenyekuelewa hapa ni mtu yeyote atakae tumia huduma za kibenki!!!practical?tutaelewa tu wala haihitaji shule kuuuuubwa!!!just cash in bank!!!
kweli!ni mpiga kura pekee ndiyo alionekana akiweka alama ya tick lakn alama yake haikuoneka kama ameweka kwenye NDIYO au HAPANA.Kwenye kweli tuandike ukweli na tusipotoshe umma.
kwa matokeo YASIYO RASMI huenda cdm ikashindwa vibaya ktk uchaguzi mdogo jimbo la kalenga.je,kushindwa huko, cdm itakuwa imepoteza nn?Bado wana nafasi ya kutafuta uwiano wa kura zilizopatkana 2010na 2014 kuona kama wanazd kukubalika au kutokubalika.kama idad ya kura kwa cdm imeongezeka basi...
Nashukuru sana kwa taarifa.nilikuwa nawaza nikinunue.je ni kisimbuzi kipi naweza pata local channels bure bila kulazimika kununua kifurushi cha mwezi?ombi tafadhali.asante.
kabla ya kufikia ulinzi wa kura kwa chopper,je hakuna njia nyingine ya ulinzi wa kura katka chaguzi zetu?nani anaweza tu kutuelimisha jinsi gani chopper itatumika kulinda kura?Tz kuna vyama vingapi vya siasa zinazoshiriki ktk uchaguzi?Kama vyote vikiamua kila kimoja kutumia ulinzi huo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.