Jamani jesca ni mtoto wa rais hata tukimjadili huku chini ni kazi bure ila me staki yanikute ya special diploma Nattak nikasomee certificate ya education technology pale Udom nmepata dvition three form four ila mpka sasa bado sijfanya application Udom cozy sijui wanfanya kwa njia gani...
Jamani watoto wa vigogo hao hatuna jinsi hata tulidiscuss kax bure ila Kama kuna MTU umundani anauelewa na njia ya kufanya application ya ngazi ya certificate please naomba anisaidie
Duhhh ni shidah ila me skaty tamaa naombeni msaadah nahitaji kusomea cozy ya education technology pale Udom kwa ngaz ya certificate ila mpka mda huu bado Udom hawajatoa form mtandaoni asa sielew ntafanikiwa au lah
Me jamani mpka sasa Bado natamani kwenda kusoma Udom cozy ya certificate ya education technology please msaada kwa yeyote ajuae application yafanyika kwa njia gan please naomba aniambie
Jamani samahanini me ni mwanafunzi nimemaliza kidato cha nne na nimepata dvtin three ya 25 na sihitaji kwenda advance n napenda kwenda chuo lakini vyo vyenyewe napendelea kiwe udom au mipango naomba ushauri nikasomee couz gani ila nilisoma biadhara so nina d ya bkepng na comerce pamoja na c ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.