farajakwangu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,942
- 695
Kama hakupendije , hapo tunafanyaje
NN mwanzisha mada I wish uliweka conditions mojawapo ikiwa mtu akishatajwa (picked) asitajwe tena. Naona ishakuwa fujo sasa kila mtu sasa anamtaka Preta Preta noma hii hapa sio Manzese wakuu. Ila the good thing ni kwamba I was the first to pick Preta so mliofuata wote imekula kwenu tafuteni wengine, of course bado yeye Preta mwenyewe ndio mwamuzi wa mwisho.