kama kwa kufanya hivyo serikali imeona ndo njia sahihi kutatua hilo tatizo na kukiokoa hicho chuo ni vizuri na nakubaliana nao lakini kama sivyo isisite kubadilisha maamuzi endapo haya maamuzi yataathiri kitaaluma kwa ujumla chuoni hapo.
Sijajua watatumia vigezo gani lakini hawa jamaa wanaofanya biashara mtandaoni wengine wanamaduka maeneo ya sinza na kariakoo ambayo tayari yanalipiwa kodi so kule huwa wanafanya kama matangazo tu!!Labda wana aproach nzuri ya kuwapata hao wafanyabiashara wa mtandao!!Ngoja tuone itakavyokuwa...
Hahahahah!!!!Hapo kwenye ulaji sina uhakika napo maana ukiangalia hapo juu kwenye post ya kwanza ya mtoa mada kuna kipande sijui ni cha katiba kinaonyesha ilikuwa tokea zamani ni DHAHABU na wala sio NJANO
Hapo kwenye nyekundu,wasiliana naye kwa inshu za ofisi tu kitu ambacho kitapelekea ule muda uliokuwa nao baada ya kutoka ofisini kwa sasa hautakuwepo tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.