Juuchini JF-Expert Member Joined Dec 10, 2018 Posts 1,969 Reaction score 2,831 Dec 12, 2018 #1 Hii ni baada ya kushindwana viongozi wa Democrat kwenye matumizi ya dola bilioni 5 ukuta wa Mexico
Sumti JF-Expert Member Joined Jan 30, 2016 Posts 2,342 Reaction score 2,196 Dec 12, 2018 #2 Mkuu ungeweka hata picha ingependeza
S Salary Slip Platinum Member Joined Apr 3, 2012 Posts 52,643 Reaction score 164,790 Dec 12, 2018 #3 Huyu atakuwa Raisi wa awamu moja tu.
miminawewe20017 Member Joined Dec 12, 2017 Posts 75 Reaction score 92 Dec 12, 2018 #4 Salary Slip said: Huyu atakuwa Raisi wa awamu moja tu. Click to expand... Hata mimi nahisi hivyo ingawa lolote linaweza tokea akaendelea kwa awamu ya pili
Salary Slip said: Huyu atakuwa Raisi wa awamu moja tu. Click to expand... Hata mimi nahisi hivyo ingawa lolote linaweza tokea akaendelea kwa awamu ya pili
Malcolm X5 JF-Expert Member Joined Jun 3, 2013 Posts 1,643 Reaction score 2,769 Dec 13, 2018 #5 Jamaa hawezi endelea,kuna kila dalili kuthibitisha hilo. Salary Slip said: Huyu atakuwa Raisi wa awamu moja tu. Click to expand...
Jamaa hawezi endelea,kuna kila dalili kuthibitisha hilo. Salary Slip said: Huyu atakuwa Raisi wa awamu moja tu. Click to expand...
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,694 Reaction score 20,653 Dec 13, 2018 #6 Hii ilipaswa iwe comment