Wasalaam ndugu zangu
Naomba nilete kwenu hii hoja.
Kuna njiwa wawili wa kike na wa kiume Huwa wanakuja kulala nyumbani kwangu, chini ya bati au Dari lakini asubuhi wanaonfoka ikifika jioni wanakuja tena kulala.
Siwajui ni wa nani, hivi hii inaweza kuwa sababu ni Nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.