Recent content by mimimnyenyekevu

  1. M

    Nina haki kama binadamu ya kupenda tena

    Pole sana,Mungu akuoe hitaji la moyo wako
  2. M

    Njiwa

    Wasalaam ndugu zangu Naomba nilete kwenu hii hoja. Kuna njiwa wawili wa kike na wa kiume Huwa wanakuja kulala nyumbani kwangu, chini ya bati au Dari lakini asubuhi wanaonfoka ikifika jioni wanakuja tena kulala. Siwajui ni wa nani, hivi hii inaweza kuwa sababu ni Nini?
  3. M

    Hivi ungefanyaje

    Ajabu hii
  4. M

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Safi sana mkuu,kunywa Pepsi kwa mangi apo nakuja kulipa chap kwaa
  5. M

    Ili uwe na baby’s face ni lazima uwe na jicho jeupe

    Ndio hawaamini wakati mimi ni wa kawaida tu
  6. M

    Ili uwe na baby’s face ni lazima uwe na jicho jeupe

    Mi nikiwaambia nipo SINGLE wanakata wananiambia hivyo ulivyo huwezi ukawa huna mtu,basi nabaki nawqshangaa tu😳
  7. M

    Thamani ya mwanamke ni ipi kwenye mahusiano?

    Kila mtu alipewa majukumu yake,mwanaume as a provider na mwanamke as a receiver, ukiyajua hayo hutapata shida na mwanamke
  8. M

    Mama Dorothy Gwajima: Tunu ya Utumishi wa Umma na Mlezi wa Jamii

    Yap,ni mtu na nusu huyu,Mungu amuweke🙏
  9. M

    Ushauri wangu kwa Wanawake na pia Wanaume. Jambo hili litakomesha yasiyofaa

    Si muwanyime,ila na nyie msiwaombe walivyonavyo
Back
Top Bottom