Habari zenu wakuu nimeitwa kwenye usaili wa kazi nafasi ya vocational training na utumishi.
Naombeni msaada wa Nondo za maswali kuanzia written na oral.
imagine kuna kampuni unaifahamu na hakuna mtu unayemfahamu pale lakini unataka kuomba nafasi angalau ya kujitolea ili upate angalau uzoefu hebu tupeane mbinu unaanzaje kufika na kujitambulisha, na ukifika haswa unatakiwa umuulizie nani ambaye atakusimamia mpka upate hiyo nafasi tuu
maana...
Kwa sasa nipo dar es salaam shughuli zangu ni mtu wa IT ambaye nashughulika na maswala yafuatayo
1.computer training programs
2.computer maintance and repair
3.security systems installations
4.software and hardware installations
5.sales and marketing of the computers and ICT services...
Tangu nizaliwe mpka Leo hii nimekuwa mtu mzima sijawahi kuona wala kusikia eti kuna wanachuo wameoana ambao uhusiano ulianzia Chuo
Kwa kifupi tuu hizo ni ndoto za alinachaaaa
Nina week nimebakiza niende kujitambulisha ukweni kwenye familia ambayo kwa jinsi binti alivyonieleza baba na mama mkwe ni wakorofi Sana.
Ameniambia pia nijiandae kujibu maswali kwani unaweza kuulizwa maswali ya maudhi yakakutoa kwenye reli au ya kawaida kwani familia yake anailewa jinsi ilivyo...
Nina rafiki alikuwa ananisimulia jinsi hali yake mahusiano yake anayopitia amepatwa na hofu muda wowote mpenzi wake atavunja mahusiano na hofu hiii inatokana dalili za mabadiliko ya tabia na mwenendo wa mpenzi wake.
Mpaka sasa ana hofu hana amani tena amejaribu mbinu zote kuongea na mpenzi wako...
Kipindi cha nyuma mawasiliano haipiti siku bila kukutafuta zaidi ya mara tano au sita yaani asubuhi, mchana, jioni na usiku mtaongea mpka unachoka lakini saivi ni morning greetings atakucheki na usiku kabla ya kulala atanicheki kunisalimia na kunitakia Gu9t
Lakini nikimpigia simu ikikata...
Katika saikoloji huwa tunasema kila jambo huwa lina sababu yake
Ukiona mtoto wa singo maza hakupendi ujue kuna sababu nyuma ya paziaa na chanzo cha haya yote Ni MKEO na NDUGU JAMAA wa biological father kuna maneno dogo wameshamjaza na kama unavyojua koo zetu za kiafrica zinavyomuelezea baba wa...
Natafuta kazi kwa mwana jf ya kufundisha masomo ya computer na security systems both practical na theory
Masomo ya computer ambayo ninayofundisha ni
1. Computer application
2. Desktop publishing
3. Computer management systems
4. Computer repair and maintanance
5. Laptop maintanance n...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.