Ukiwa na hofu ya kuachwa baada ya kuona dalili za kuachwa kabla ya break up kutokea

mimi20

Member
Jan 16, 2021
14
24
Nina rafiki alikuwa ananisimulia jinsi hali yake mahusiano yake anayopitia amepatwa na hofu muda wowote mpenzi wake atavunja mahusiano na hofu hiii inatokana dalili za mabadiliko ya tabia na mwenendo wa mpenzi wake.

Mpaka sasa ana hofu hana amani tena amejaribu mbinu zote kuongea na mpenzi wako kama kuna tatizo basi wasuluhishe lakini binti anaonekana hataki kueleza tatizo haswa ni nini na hata akimuelezea kinamchomsumbua binti anaonekana hayupo tayari tatizo kulimaliza hivyo mshikaji ana hofu sana, hana amani, stress za kuachwa zinamsumbua

Je afanye nini ili ajiondoe katika hiyo haliiii
 
Mwanaume anababaika na binti katika dunia yenye mabinti wengi kiasi hiki?

Kama si mtoto mtoto huyo basi ni limbuleni mkubwa,aachane nae tena amuwahi yeye kumwambia kua mahusiano yake na huyo binti yafike mwisho,ili atetee uanaume na huyo binti abaki kumuheshimu jamaa

Lijamaa jinga sana hilo
 
tell him to man up and pull the trigger.
kwenye situation kama hii asi tumie force kujua tatizo.
just awe tyr for anything anytime.

mara nyingi ni huwa kuna mwanamue mwingine ndani ya akili ya huyo demu
 
Amng'ang'anie asikubali kuachwa kirahisi
kupata mwengine sio kazi ila kazi kuzoeana na kumatch
 
Isimpende mke kwa 100% maana naye ana moyo wa nyama anaweza badililka utakuja kufa hata biblia inasema lazima uwe na kiasi
 
Waulize wale wanao ona dalili za kupunguzwa kwenye ajira ..ndo utajua hizo wala sio stress ni kujiendekeza tu
 
Mwambie hivi, "Linapokuja suala la mapenzi, ni kosa kubwa sana mwanaume kutokufanya uamuzi katika mapenzi! Good or bad, decision must be made. Asipoteze muda kubargain na mwanamke, mwanamke anasubiri maamuzi tu ya mwanaume".

Kwa situation hii, jamaa yako amwache huyo mwanamke. Itamuuma sana, lakini amwache. Anampenda sana ila amwache tu!
 
Back
Top Bottom