Acheni uwongo nyie Rais alisema ntu apewe akifie mbele lkn ss hv ukienda unaambia ww km proffesional katafute kaz ss huwa nashindwa kuelewa Rais alituongopea kutwambie tukachukie chetu?
Ukitumia ATCL huwez panga ratiba yako kuwa utasafr ln na saa ngap muda wowote ratiba inabadilika walikuwa na ndege mwanza ya sa12 asubuh na saa nane na saa moja kwenda mwanza gafla u ashangaaa ndege ya saa nane haipo wakat kipind cha fastje pamoja na kususua aliweza kweka ratiba nzur saana ya...
Watu wengi saana pale wamibiwa hata mm ni mmoja wao nilishawai iibiwa na beg langu lilikuwa na kufuri likabunjwa nikalalika ww matokea yake hakuna nilichopata
Hao swisport ni wez wa kutupa mzee lkn hili suala limeachwa liendeleee kutuumiza wakat hawa vijana ndo wanaoiba wakat wanapak kule kwenye...
Mh rais nilidhan kuwa ile kauli yako na tamako ingetosha kabisa hawa jamaa kuanza kutulipa mara moja mafao yetu lkn ch kushangaza zaid ukienda ofcn kwan wanadaia hawajapata walaka hvyo hwawez kulipa chochote nn kitu ss kinaendelea au lile tamko litaanza lin kufanya kaz tujue mapema
Mh nasikitika kusema kuwa ule muongozo na maelekezo uliyotoa ck unaongea na wafanya kazi naona bado watendaji hawajackia ukienda kudai mafao yako NSSF wanadai hawajapata walaka wowote toka kwako hivyo wanagoma kutulipa. MH rais ina maana tamko lako halitoshi watendaji kuanza kulifanyia kaz mpaka...
Ukatili unaondelea kufanywa na Fastjet sio wa kufumbia macho. Yapata wiki nzima sasa abiria hawasafiri kwa wakati ndege zinaahirishwa bila kupewa taarifa.
Leo asubuhi nilitakiwa kusafiri kutoka Mwanza kwena Dar saa mbili asubuhi mpaka sasa navyoandika saa 21:35 ndege haijulikani inafika saa...
Ukatili unaondelea kufanywa na fastjet cio wa kufumbia macho yapata wiki nzima ss abiria hawasafir kwa wakati ndege zinaairshwa bila kupewa taarifa
Leo asubh nilitakiwa kusafir kutoka mwanza kwena dar saa mbili asubuh mpaka ss navyoandika saa 21:35 ndege haijulikan inafika saa ngap na tumewekwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.