Recent content by mimi chaka

  1. M

    JamiiForums Tanzania Muslim world na wapenda haki wote wengine, mbona huyu hamumchukii?

    apataye haachi kusifia akili zake, ahsante kwa ushauri wako nimekuelewa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Muslim world na wapenda haki wote wengine, mbona huyu hamumchukii?

    cc wengine english no, ungetutafsiria
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    mimi nilimfumania, niliwapasua wote wawili, mke wangu na mchepuko wako, yule mwanaume nilimuumiza sana, kesi ilikuwa ngumu, nilikaa segerea miezi 9. nilipotoka gerezani, mke wangu sikumkuta na yule jamaa alirudi kijijini kwao
  4. M

    JamiiForums Tanzania BoT: Kutunzana fedha katika sherehe kufuate kanuni

    hilo bado sana, siyo tu Bot, bali Afrika nzima, Afrika na usimamizi bora wa sheria ni 0+0
  5. M

    JamiiForums Tanzania Elon Musk : Vipofu sasa wataanza kuona

    naiwe kweli
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    huku kwangu hakuna hata mmoja, lkn siwalaumi. kuna sababu kuu inayopelekea watu wengi hawatambui huu mtandao, jf. sababu yenyewe ni hii, jamii forums haijakaa kiburudani burudani, yaani entertanmet platiform jamii forums imekaa kielimu zaidi. msisahau kwamba watz wengi ni wavivu wa kusoma...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    huku kwangu hakuna mmoja, lkn siwalaumi. kuna sababu kuu inayopelekea watu wengi hawatambui huu mtandao, jf. sababu yenyewe ni hii, jamii forums haijakaa kiburudani burudani, yaani entertanmet platiform jamii forums imekaa kielimu zaidi. msisahau kwamba watz wengi ni wavivu wa kusoma. akili...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya Hidaya wa Pepe Kalle na DJ Mark Hope

    ahsante kwa kunifungua juu ya hili, nimependa andiko
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kuna kiwango chapesa huwezi kufikia bila kuwa na spiritual stamina

    huu ni uandishi wa eric shigongo, ni ushauri ambao yeye mwenyewe hajawahi kuutumia, hautumii na hatokuja kuutumia
  10. M

    JamiiForums Tanzania Polisi waruhusu Mikutano ya hadhara.. Je, wamemgeuka Katambi?

    sijui na mimi niungane na ile dhana ya kwamba "AFRIKA TUNAHITAJI KUTAWALIWA TENA? lakini naona bora niiache kwanza, Afrika tunahitaji viongozi wenye kariba ya MAGUFULI. ingawa wapo wachache sana
  11. M

    JamiiForums Tanzania Upuuzi na ujinga kumwambia mwenzako umezeeka sababu ya pombe

    unasemaje?
  12. M

    JamiiForums Tanzania KERO Sungusungu Chamazi wanakuja kudai fedha usiku bila vitambulisho

    hapana hiyo siyo sawa, tena wanakosea karibu sana bwana Anonymous hapa jamii forums. wewe ni rafiki yangu kule fb
Back
Top Bottom