Recent content by mimi chaka

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    ahsante kwa kunifungulia 'code'. nimesoma hii mada lakini sijang'amua kitu, kwa7bu mimi c mfukunyuku saaaana 😅😆😆😁😄😙
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mods Angalieni Uwezekano wa Kurudisha Application ya Zamani ya JF

    hii app mpya niliipakua na baada ya kuona ina mapungufu, nikaifuta. matumia google au chrome kuingia jf
  3. M

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    kwa mfano kama kwa anko T, unataka ushahidi gani?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kutoka X ukurasa Wa Roma Kuhusu Waziri Katambi.

  5. M

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    kiiza bisigye alikamatiwa wapi kama siyo KENYA?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nani unamwona kama Great Thinker hapa JF?

    tulia ackson
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    mimi naomba kuuliza, hivi hiyo biblia imetuelekeza vipi katika kufanya ibada? yaani ni hatua gani za kufuata 1~2~3, tukizifanya kwa ukamilifu ibada yetu itakuwa imekidhi vigezo. narudia tena, maelekezo ya moja kwa moja kutoka kwny biblia. siyo mafundisho ya kanisa, kwani ninachokiona sasa ni...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake ambao huweka makucha bandia marefu vidoleni huwa sio mateso kwao?

    huwa wanakuwa €¢÷π✓°^ chafu, kwani hawawezi kujisafisha vizuri, namna bora ya mwanamke wakati wa kujisafisha ikulu lazima aingize 🤟, sasa kama amebandika hayo makucha ya kishetani, atawezaje kujisafisha?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Unatumia sabuni gani kuogea?

    ya magadi
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwa nini hakuna ushahidi wowote wa Waisrael kuwahi kuwa utumwani Misri ?

    kuhusu walimu nawatetea, hawakuwa vilaza. kuhusu vitabu kuandikwa na wajinga, nakuunga mkono kwa asilimia zote,
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kuuzwa kwa kisiwa cha Lupita,Nkasi -Rukwa. Tanzania

    AFRIKA TUNAHITAJI KUTAWALIWA UPYA, HILI MTAKE MSITAKE
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwa nini hakuna ushahidi wowote wa Waisrael kuwahi kuwa utumwani Misri ?

    labda kama hiyo topic imeondolewa katika mtaala wa sasa, lkn hiyo topic ilikuwepo na tulifundishwa kidato cha pili
Back
Top Bottom