huku kwangu hakuna hata mmoja, lkn siwalaumi. kuna sababu kuu inayopelekea watu wengi hawatambui huu mtandao, jf.
sababu yenyewe ni hii, jamii forums haijakaa kiburudani burudani, yaani entertanmet platiform
jamii forums imekaa kielimu zaidi. msisahau kwamba watz wengi ni wavivu wa kusoma...
huku kwangu hakuna mmoja, lkn siwalaumi. kuna sababu kuu inayopelekea watu wengi hawatambui huu mtandao, jf.
sababu yenyewe ni hii, jamii forums haijakaa kiburudani burudani, yaani entertanmet platiform
jamii forums imekaa kielimu zaidi. msisahau kwamba watz wengi ni wavivu wa kusoma. akili...
sijui na mimi niungane na ile dhana ya kwamba "AFRIKA TUNAHITAJI KUTAWALIWA TENA?
lakini naona bora niiache kwanza, Afrika tunahitaji viongozi wenye kariba ya MAGUFULI. ingawa wapo wachache sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.