Wakenya walizoea kujiona wao ni wao! Nashangaa watu wanao comment eti rais anatuletea aibu! Magari yetu ya kitalii hayakuwa yakiruhusiwa kwenda uwanja wowote wa ndege kenya, sasa hivi wametia adabu! Unapenda tuonekane wema huku tukitajirisha wenzetu! Ni ujinga sana
Mkuu pole sana! Nikupe hongera kwa kuwa na kipato ulicho nacho, na hilo ndilo lilikusukuma kulipia msichana chuo! Hesabu ni sawa na kutoa msaada kituo cha watoto yatima na kutegemea malipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.