asanteni kwa ushauri lakin sasa kama mjuavyo kila mtu huwa na wazo lake kutokana na ulezi wake kwa watoto wa kiume...baadhi ya watu wangu wa karibu wanasema ana CHANGO ndio linasababisha asilale usiku kwani huwa kama anajikunja kunja na kama ana gugumia hivi....binafsi nilimpeleka hospital...
habari wana jf....nimejaliwa kupata mtoto wa kiume ambaye kwa umri ana mwezi na nusu sasa...mchana kutwa anashinda amelala akiamka ni kunyonya na kuendelea kulala..amekuwa akilala hadi saa tano au sita usiku baada ya hapo akiamka ni halali tena ikibidi hadi asubuhi...kwakweli napata shida...
Habari wanajamvi...hivi inakuwaje mtu unaandika list ya majina ya wanawake uliokuwa na uhusiano nao wa kimapenzi tena wadada sio chini ya saba..then mpenzi wako akikuuliza ya nn???? huna cha kujibu na zaidi akitaka kuichukua hyo diary ulipoandika hayo majina unaonekana kukwazika na unaificha...
babu yangu aliniambia dawa ya mwanaume kiburi na jeuri hata aweje ni saa kumi usiku....na usibishane nae...kaa kimyaa..aongee weeeh....atakitembeza ila atakirudisha tu mwisho wa siku.
Huo ugonjwa unasababishwa na kupata choo kwa tabu sana..tatizo linaanzia kwenye vyakula anavyokula mtu.vyakula hvyo ni jamii ya ngano hasa mikate, chapati,.Pia kutokunywa maji mengi, mboga za majani na kutokula matunda kwa wingi hasa mapapai. kukosa choo huko huanza taratibu na tatizo likiwa...
hapo na mwanaume angekuwa na watoto kabla ya kukutana na huyo mwanamke basi wala kusingekuwa na malalamikom hayo...wanaume wa siku hizi kwa kukimbia majukumu hawajambo...kama mwanzoni walipokutana huyo bibie hakuwa muwazi basi muache ateseke lakin kama alimwambia na akakubali kwann ajitie...
dah ni mbaya sana mwanamke kunywa pombe,,mwanaume ndio kichwa cha familia,,sasa ww huwezi kumbadili mkeo tabia utaweza kweli kuwabadili watoto,,...mmmh pole weee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.