"Natamani Mpenzi wangu asafiri"

"Natamani Mpenzi wangu asafiri"

Kuna rafik yangu alikua na mke, mke alikua hapumziki hata kuongea na simu ilifika wakati akavunja dirisha la chumbani kwake na simu zote pamoja na ya kwake akaiiba, alipata mapumziko kidogo, lakini alinifurahisha aliponiambia mke wake akimuaga anataka kwenda kwao jambo la mwanzo hukimbilia chooni kwenda kufurahi.......
 
Kuna rafik yangu alikua na mke, mke alikua hapumziki hata kuongea na simu ilifika wakati akavunja dirisha la chumbani kwake na simu zote pamoja na ya kwake akaiiba, alipata mapumziko kidogo, lakini alinifurahisha aliponiambia mke wake akimuaga anataka kwenda kwao jambo la mwanzo hukimbilia chooni kwenda kufurahi.......

Wonders will never cease!
 
Rafiki wangu alikuwa na housegirl., wakati mkeo ameenda kazini, jamaa kaanza longolongo!wakaanza zao game!walipofanikiwa kufunga. Mke akashuku n kurudi, kuwafumania jamaa+girl walikuwa ulingoni!dakika 5!!ufahamu kuwarudia loooo! Malkia ameduwaaa..... Ungalikuwa wee ungefanyaje?
 
mpeane likizo jamani angalau mmisiane. kukaa na mtu miaka nenda rudi nayo inachosha.
 
babu yangu aliniambia dawa ya mwanaume kiburi na jeuri hata aweje ni saa kumi usiku....na usibishane nae...kaa kimyaa..aongee weeeh....atakitembeza ila atakirudisha tu mwisho wa siku.
 
babu yangu aliniambia dawa ya mwanaume kiburi na jeuri hata aweje ni saa kumi usiku....na usibishane nae...kaa kimyaa..aongee weeeh....atakitembeza ila atakirudisha tu mwisho wa siku.
huyo babu yako atakua dugu moja na saudari
 
Last edited by a moderator:
Mkishafikia huko chukueni break, yaani tenganeni ikibidi kusafiri holiday pekeyao ili kung'amua uwekezekano wa kuwa pamoja tena au kuachana kabisa.

Lakini kwa waafrika hii kitu haipo kupeana break
 
Ndoa nyingi zina shida, zinaumwa, zimechoka na zipo kwajili tu ya mazoea (tunaishi basi tu),watoto hawana tena malezi mema, haipiti wiki bila kununiana japo kwa muda (mnapeana half time).

Juzi katika pilika zangu za maisha ndipo tukiwa tunafanyiana counselling mmoja wa victim akasema kwa maumivu makali snaa kuwa, angetamani sana japo mpenzi wake (female/male??) asafiri apumue kidogo....Mapenzi yanapofikia huku, ni kipindi cha kila mmoja kuonyesha misimamo positive, kukimbia, kusafiri, kumuombea msiba/kifo au kuwa na KIDUMU hailipi hata kiduchu.

Kama mwaka 2012 ulikua mwaka wenye matatizo na changamoto katika familia, basi 2013 ni muda wa kurekebisha, yaache na kuyasahau yaliyopita, na MUNGU wangu awapiganie muwe na NDOA takatifu na kuwalea watoto katika malezi bora.

Ona mifano hii, wewe je nini uzoefu wako? Sizungumzii GF na BF please
Ni wakati mwafaka kuwekeza katika ndoa (na si sherehe za ndoa)kwa muda ,mali,na akili zetu!
 
Married and bored or Single and lonely.

Watu wengi wanaoa kuridhisha jamii zinazowazunguka inaonesha kama ni right thing to do at a certain age.
 
Mkishafikia huko chukueni break, yaani tenganeni ikibidi kusafiri holiday pekeyao ili kung'amua uwekezekano wa kuwa pamoja tena au kuachana kabisa.

Lakini kwa waafrika hii kitu haipo kupeana break

Cold Wars hizi ni mambo ya kawaida sana. Inaweza kupita wiki kila mtu kivyake baadae inakua fresh especially kama mna watoto at some point mnaanza kuwasiliana.
 
Cold Wars hizi ni mambo ya kawaida sana. Inaweza kupita wiki kila mtu kivyake baadae inakua fresh especially kama mna watoto at some point mnaanza kuwasiliana.
kuna wenginme wanakuaga uso wa mbuzi milele...kikubwa ni maombi tu yatasaidia japo kidogo
 


I can't win, I can't reign
I will never win this game
Without you, without you
I am lost, I am vain,
I will never be the same
Without you, without you
I won't run, I won't fly
I will never make it by
Without you, without youI can't rest, I can't fight
All I need is you and I
Without you
Without you
Oh, oh, oh!You! You! You!
WithoutYou! You! You!
Without you
Can't erase, so I'll take blame
But I can't accept that we're estranged
Without you, without you
I can't quit now, this can't be right
I can't take one more sleepless night
Without you, without you
I won't soar, I won't climb
If you're not here, I'm paralyzed
Without you, without you
I can't look, I'm so blind
I lost my heart, I lost my mind
Without you
Without you
Oh, oh, oh!You! You! You!
Without You! You! You!
Without you
I am lost, I am vain,I will never be the same
Without you, without you
Without you


Ni wakati mwafaka kuwekeza katika ndoa (na si sherehe za ndoa)kwa muda ,mali,na akili zetu!
 
Last edited by a moderator:
Married and bored or Single and lonely.

Watu wengi wanaoa kuridhisha jamii zinazowazunguka inaonesha kama ni right thing to do at a certain age.


You are right, but when it comes to this stage yaani kuoa ili kuridhisha jamii then you are doomed. People should not live their lives because of jamii.
 
Mkishafikia huko chukueni break, yaani tenganeni ikibidi kusafiri holiday pekeyao ili kung'amua uwekezekano wa kuwa pamoja tena au kuachana kabisa.

Lakini kwa waafrika hii kitu haipo kupeana break

Ni kweli kwa waafrika hii kitu hakipo badala ya solution ya uhakika utakuta mtu (hasa mwanaume) anasusa kurudi nyumbani for some days na kukaa kwa nyumba ndogo. Akija nyumbani ni kuchukua more nguo, hasalimii watoto wala kumsemesha mkewe badala yake anakwenda kwa nyumba ndogo na kumkashifu mke wake yaani kumgeuza kuwa kituko.
 
hahahhaaaa una utani na watu wewe? tena asubuhi asubuhi namna hii


Ahaa mkuu Elli, si utani huo nilitaka tu anipe feedback kama jamaa yake alisha safiri/cheat ili apumue maana bila kupumua tena si atakwisha? Na ndiyo maana niliuliza kwani nilikuwa namuonea huruma.
 
Siku zote silaha yangu kubwa kuendelea kuwa na amani na furaha, ni kujifunza kusamehe na kusahau...Ni ngumu lakini inawezekana

Nimeipenda sana hii, ndio silaha yangu pia, maisha ni mafupi sana kwanini nijipe shida, Hakuna mtu aliye mkamilifu, na isitoshe sitaki kuumiza kichwa changu kwa ajili ya mtu mwingine,Kila Binadamu anayo madhaifu yake .
Haha sasa naona leo kila mtu anatoa ushuhuda wake moyoni, mie huwa nakaa kimya kabisa, hata aniongeleshe vipi najizuia nisimjibu, anajua vyema but then tunaendelea vziru tu, huwa nasamehe on spot wakati anaongea ndio maana huamua kukaa kimya nisijibishane nae


Elli na mimi napenda sana staili hii, umamuacha anaongea tu baadaye hujikuta anaongea peke yake, na akishaona hivyo anajua kuwa umempotezea , basi asemi kitu tena.Lakini huwa namfuraia sana kwa kuwa anachangamoto nyingi sana,ila jinsi tunavyoishi pamoja najikuta nazidi kumpenda kila siku, nikiangalia strength zake , najiona kuwa na bahati kwa kuwa na mwanamke kama yeye.
 
Nimeipenda sana hii, ndio silaha yangu pia, maisha ni mafupi sana kwanini nijipe shida, Hakuna mtu aliye mkamilifu, na isitoshe sitaki kuumiza kichwa changu kwa ajili ya mtu mwingine,Kila Binadamu anayo madhaifu yake .



Elli na mimi napenda sana staili hii, umamuacha anaongea tu baadaye hujikuta anaongea peke yake, na akishaona hivyo anajua kuwa umempotezea , basi asemi kitu tena.Lakini huwa namfuraia sana kwa kuwa anachangamoto nyingi sana,ila jinsi tunavyoishi pamoja najikuta nazidi kumpenda kila siku, nikiangalia strength zake , najiona kuwa na bahati kwa kuwa na mwanamke kama yeye.
Mpwa ni kweli kabisa, sio kweli mara zote akina Mama wako negative kwa kila kitu , No No, hawa watu resource nzuri sana ya kila kitu. Unakaaa kimya kwa vitu ambavyo labda unaona ukiongea itakua purukushani kubwa zaidi sasa ili kuzuia hayo yote unakaa kimya halafu unajua nini asubuhi kukipambazuka namtekenya kidogo, mwanzoni ilikua ngumu but now amezoea kuwa tukishatofautiana kitakachofuata kesho yake ni tekenyo.....
CC: Smile Paloma Little Angel Fidel80 na wapwa zangu wengine dudu morning
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom