millionroses
Member
- Nov 12, 2012
- 19
- 2
ha ha ha ha.....kaka kugusa huwezi hata kupapasa...poleeee eeeh
Na wewe unakuwa kama hujawahi kula furu, wewe zuka mzima mzima hukohuko eyapoti. Kama akianguka kwa kihoro cha kukuona shauri yake!.Naombeni ushauri wenu wana jf!,Nina gf wangu Anatokea Dar anakuja Mwanza na ndege ya mchana huu, cha ajabu nimemwambia kuwa nakuja kukupokea AIPORT amenikatalia anadai nisiende tutaonana nyumbani! Kanipigia tena ananiuliza et kama nimechukia!,
Yawezekana yuko mjini tangu juzi!!!
pole sana coz hapo atakuwa yupo mwanza tangu juma 3 au last week kabisa!! ama anatua na mtu aliyempa nauli na ame mwambia anafikia kwa dada, mama mdogo au shangazi!!
wanasema ""chezea madem wa dar wewe''
Mkuu huyo,kesha kula kichwa kwenye ndege.Kwani wewe hujawahi kula kichwa safarini.:A S angry:
hilo nalo nenoYawezekana yuko mjini tangu juzi!!!