Recent content by MillionHairs

  1. MillionHairs

    Simply Beautiful

    Wachunguze washiriki wote hapo pichani...hakuna aliye natural hata kidogo. Ni wazuri ila urembo umewafanya waonekane wazuri zaidi na mvuto zaidi. Amini ni vigumu sana mwanamke kusifiwa mzuri asipokuwa na urembo uliyopangiliwa.
  2. MillionHairs

    Simply Beautiful

    Uzuri Unazaliwanao ila urembo na usafi wa mwili unajipa mwenyewe. Huwezi mtenganisha mwanamke na urembo.
  3. MillionHairs

    Simply Beautiful

    Urembo na kujitunza ndio uzaa uzuri kama huo...angekuwa natural kama msitu(dubwana dubwana) huo udenda wa matamanio usingekutoka.
  4. MillionHairs

    Simply Beautiful

    Ha ha haaaa...kaka asikuongopee mtu(ushabiki sifa tuache pembeni) kuku wa kizungu(familia bora) ni vigumu sana kuwapata ki urahisi rahisi. Ila kuku wa kienyeji (baadhi ya dada zetu wa Uswazi) kitu laiini kama unasukuma mlevi.
  5. MillionHairs

    Simply Beautiful

    Ni kweli huyo mtoto ana swaga balaaa...alafu juu katupia kitu cha spring curls
  6. MillionHairs

    Simply Beautiful

    Ni sawa ila siyo wanawake wote wako hivyo...hasa kuku wa kienyeji. Ila kuku wa kizungu walio wengi ndio utawakuta kwenye muonekano huo mtamu.
  7. MillionHairs

    Simply Beautiful

    Kumbuka kuna tafauti kubwa sana kati ya uzuri na urembo. Hicho kilichokupagawisha hapo ni manjonjo ya urembo. Je, shemeji yangu nae huwa unamruhusu kwenda Salon?
  8. MillionHairs

    Simply Beautiful

    Siyo mchezo...mtoto amewekwa kope zilizokwenda shule,ana make up ya ukweli na juu ana Malasiyan weaving. Urembo unachangia mwanamke kuwa mzuri...angekuwa natural kama msitu usingemsifia kiasi hicho.
  9. MillionHairs

    Simply Beautiful

    Urembo unachangia kumfanya mwanamke aonekane mzuri.
  10. MillionHairs

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Benteke ni mtu wa kumkaba mda wote...wakimpa nafasi tu tumekwisha.
  11. MillionHairs

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Namuomba Mungu wangu tushinde hii game!!...hawa watoto wa mchangani huwa hawaaminiki.
  12. MillionHairs

    Harusi ni mipango yako binafsi, kwanini uninunie?

    Michango ya kwenye hii Mada imenifurahisha sana. Anyway acha niendelee kuwa msomaji.
  13. MillionHairs

    Bei za Camera Nikon D3100 na D3200 ...

    Sorry, hiyo extra long miles lens nilinunua nilipokuwa Guangzhou China...kwa hapa Bongo sijui kama zipo na kama zipo bei yake sijui ni kiasi gani.
  14. MillionHairs

    Bei za Camera Nikon D3100 na D3200 ...

    Mkuu, hii Camera ilikuja na kila kitu kwenye begi yake ikiwamo hiyo flash yake...ila hiyo extra long miles lens niliinunua peke yake. Mkuu, Canon 7D ni mashine ile mbaya!!.
  15. MillionHairs

    Bei za Camera Nikon D3100 na D3200 ...

    Mkuu, hiyo 5D sijui maana sijawahi kuitumia...lakini hii 7D ni zaidi ya Camera' ina piga picha vizuri sana na inachukuwa video vizuri sana.
Back
Top Bottom