Sema inaishangaza sana simu inaanguka kioo hakipasuki kinavuja tu wino, huenda hizi kampuni za simu zilikua na uwezo wa kutatua kabisa ili tatizo lakini ndo imeshakua biashara yao kwa mlango mwingine 😆
Mfano leo pia wakati nabadili line Kuna uchafu ukaingia kwenye uwazi wa kuchomeka pin nikasema nipulize utoke bwana bwana tatizo likaongezeka hewa ikaingia kwenye kioo na ule weusi ukangezeka kwenye screen ata kuona Sasa ni shida. Msaada mkuu apo nifanyaje.
Mkuu nje ya mada kidogo, Nina simu yangu google pixel 7 pro Ina shida ikidondoka haipasuki kioo ila inatengeneza weusi ambao unaziba screen na hii inakua inasambaa baada ya mda.
Tatizo apo litakua ni kioo Cha kubadilisha au unanishauri nini maana ukiizima kioo hakina ata a mpasuko wowote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.