Recent content by millenium

  1. M

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukutana na Boss mwenye tabia gani ya ajabu?

    Unaona raha kuiba post za Watu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kukutana na Boss mwenye tabia gani ya ajabu?

    Habari Wanajukwaa! Naomba tushare uzoefu wa tabia za Wakuu kazini. Mi boss wangu mmoja Alikuwa na Tabia ya kuingia kinyumenyume kwenye mlango wa Ofisi. Mpaka leo sielewi nini kilisababisha tabia hiyo.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kukutana na Boss mwenye Tabia gani ya ajabu?

    Habari Wanajukwaa! Naomba tushare uzoefu wa tabia za Wakuu kazini. Mi boss wangu mmoja Alikuwa na Tabia ya kuingia kinyumenyume kwenye mlango wa Ofisi. Mpaka leo sielewi nini kilisababisha tabia hiyo.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mganga wa kienyeji amtisha mgombea urais

    Haahaahaaaahaaaa ...kama ni mganga wa kweli,hakuwa na haja ya kwenda kwenye media .!angefanya tu huo ujinga wake
  5. M

    JamiiForums Tanzania UKAWA hamkujipanga kwa ajili ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba

    Inaonekana unaota ...endelea kulala
  6. M

    JamiiForums Tanzania GE2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

    Hata we uliyepost ni lofa na mpumbavu!chama kinaundwa na kina Nani??kinaundwa na watu ,na hao watu wana familia na marafki na hao marafiki zao wana marafiki ,mwisho wa siku tunakuwa na jamii nzima ya watanzania wanaotaka mabadiliko ndio wapumbav na malofa ...,..unaposema hakusema watanzania...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Agano la damu katika mapenzi lina madhara gani?

    Hizo illusions tu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi wangu wa ndani wa kike kakutwa na maambukizi ya UKIMWI

    Akishapata ushauri nasaha ,mwambie ukweli halaf mwanzishie dozi!UKIMWI SIO MWISHO WA MAISHA,ukimrudisha kwao utakuwa unambagui
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mchumba wangu hamtaki dada wa kazi aliyemkuta kwangu, hamuamini

    Umrudishe nyumbani kwao akajifungue ..........
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    Kwan diamond ni nan ??ni mtanzania kama we we!kuna ubaya gani kuonyesha anaye.kubali ni Nani???...halaf swala LA yeye kumchagua magufuli halihusiani na tuzo anazowania ndani na nje ya africa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu ni kikwazo kikubwa cha furaha yangu

    Pole sana kaka...mrudishe nyumbani akapewe ushauri na wazazi kwanza !!!
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ushindi si LAZIMA - Kinana

    Ndo tuwashangar
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kweli tunmeamua kupeleka Malkia wa mchwa Ikulu?

    Magufuli alivyouza nyumba za taifa kwa marafiki zake ??.......lowassa ,rostam na karamagi waliwajibishwa na kuachia nyadhifa zao..!!kama huielew siasa ya tanzania ,usipost chochote
  14. M

    JamiiForums Tanzania Picha: Tofauti kati ya Magufuli na Lowassa wakati wa Uchukuaji wa Fomu za Urais

    Hiyo ni kauli za kibaguzi!!unahis wewe ni bora kuliko hao uliowataja ???kuwa makin na post zako
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nani anaandikaga subtitles za movies za Bongo?

    Ni kweli kabisa......waajili watalam wa lugha toka vyuo vikuu
Back
Top Bottom