jinsi sukari nguru inavyopikwa, chukua miwa kamua maji yake baada ya hapo weka kwenye pipa halafu pika mpaka ichemke haswa halafu tafuta chombo kisafi kama kikombe then mimina yale maji bado ya moto acha ipoe itaganda ndo inaitwa sukari nguru. uikitaka kujua zaid nenda jukwa ya kenya...
By Xinhua Updated Tuesday, May 26th 2015 at 10:32 GMT +3
President Jakaya Kikwete will leave office after finishing his second five-year term in October, the constitution bars him from running for a third term.
Tanzania will hold its general elections on October 25, the country's...
Habari,
kuhusiana na topic hapo juu nataka ku apply moja kati ya hivyo vyuo, open university au goverment university. naomba mchango wenu ipi ni nzuri zaidi au rahisi kupata kazi baada ya kuhitimu chuo?
Wewe uliyeanza issue ya wahindi hebu acha uvivu fanya kazi. hakuna kitu bora na muhimu kwetu kama amani, kwani hvyo vitu walivyo pora watakula mwaka mzima? mtu unapora mali ya watu halafu baadaye unasikia kuwa amekufa kwa presha labda duka ilikuwa ina loan, unategemea nini? ni laana hizo. tena...
Mimi nilikuwa na kilo 87 nikaaanza maozoezi ya kupanda ngazi za gorofa asubuhi kila siku monday to friday kutoka floor number one to floor number ten taratibu wala sio kwa jogging wala kukimbia ila natembea taratibu.
Nikifika floor number ten nakuwa nime sweat sana, nakaa napumzika halafu...
As elections in Burundi approach, thousands of people are fleeing into neighbouring Rwanda, fearing violence from the hands of the ruling party's youth wing, the Imbonerakure.
Minani, 44, crossed into southern Rwanda last week with his wife and four children, because of what he said were...
Asante sana mdau, kama kuna leakage lazima mita izunguke, jana usiku tulifungua mita sisi na mwenye nyumba lakini tukakuta mita haitembei tulipofungua maji ikawa inatembea for that nafikiri hakuna leakage yeyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.