Jabari wana JF.
Mimi ni Mbongo lkn naishi Marekani na mke wangu ni Mmarekani .
Nachotaka hapa ni ushauri na si matusi tafadharini.
Ni hivi ....Mke wangu ni mkorofi sana, nataka nimpige chin(nimuache) .
Niko kwenye ndoa miaka 3 na ninayo Green Card ya miaka kumi.
Hofu yangu nikimuacha vipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.