kwa taarifa yako tangu aondoke Julius Matiko na kuingia mutabuzi viongozi walkua masnitch mpaka mwaka juz ndio vijana wa m4c waliposhika dola mambo yakaanza kwenda sawa na hatimaye kumng'oa mutabuzi ndio kaingia shulla
though mimi. ndiye niliyeanzisha vuguvugu la mabadiliko tangu mwaka juz shuleni hapo nawashauri madogo waache mgomo bali wajikite kusoma coz kitakachowakuta kwa mgomo huu sijui 2.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.