Recent content by mikononyuma

  1. mikononyuma

    Kwa masikitiko makubwa, mwandani wangu ananisaliti na wanaume zaidi ya wa 5

    "Sina kinyongo wala sina mpango wa kumdhuru mtu." Pole kinyongo lazima muhimu ni usimdhuru mtu[emoji23][emoji23][emoji23]
  2. mikononyuma

    Naombeni ushauri: Rafiki yangu amehamia kwangu na mabegi

    Huu ndio wakati sahihi wa kuinuana saidia huyo jamaa yako bado maisha ni marefu umsaidiae leo anaweza kuja kuwa maalum katika maisha yako,ikiwa tofauti pokea tu. Binadamu yajayo ni fumbo,tumepita humo tulio wengi Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
  3. mikononyuma

    SoC03 Wajibu wa Bima ya Afya kwa wote

    NHIF wagonjwa tunasainishwa fomu haioneshi tumepewa huduma gani na kwa gharama gani? Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
  4. mikononyuma

    Mungu mkuu, Mfalme Suleiman na Ars Goetia (mapepo 72 ya kuzimu)

    "Ufunguo mdogo wa Suleiman) anatajwa kumiliki mapepo 72 ya kuzimu maarufu kama Ars Goetia. Haya mapepo 72 ya kuzimu yalikuwa na nguvu kubwa kiroho na kimwili na yalikuwa yamegawanyika katika sekta mbalimbali kuanzia ulinzi na usalama, elimu, umaarufu, vita, visasi, malipizi, mapenzi, uhai...
  5. mikononyuma

    Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

    Hiyo kaniki ndio huwafanya wengine wajione hawapambani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. mikononyuma

    Watakatifu ni wazungu waliokufa zamani. Waafrika waliokufa zamani eti ni mizimu

    "Holly Ghost Fathers" linanichanganyaga[emoji56]
  7. mikononyuma

    Walimu ni kundi la mwisho kabisa kwenye Utumishi wa Umma

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. mikononyuma

    Safari ya Dongobesh Wilayani Mbulu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji14]
  9. mikononyuma

    Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

    Nikiona operation "kataa ndoa" kwenye moja na mbili huwa nacheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji14][emoji14]
  10. mikononyuma

    Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

    "Batili haialalishi batili,yote ni batili!! Jema halibatilishi jema, yote ni mema" Mfano, kwa kuwa unyanyasaji wa kijinsia unapingwa zaidi kwa kuegemea upande wa mwanamke (yaani katika jamii yetu neno hilo likitamkwa akili hujielekeza kwamba kuna mwanamke kafanyiwa lisilo jema). Huzuiliwi...
  11. mikononyuma

    Nini hatma ya shule anayomiliki Hakika Reuben baada ya video clips zake chafu kuvuja mitandaoni?

    @Mkwe21 Mshana Jr . Ukiwa mtoto utapenda ukikua uwe kama fulani kulingana na mazingira yako, mtoto wa shule ya msingi na mzaliwa ndani ya mkoa wa Dodoma hawezi kutamani kuwa nahodha wa meli ambayo hajawahi hata kuiona. kwa nini wazazi wanaamini katika shule ya seminary ao Islamic? Ni imani...
Back
Top Bottom