Recent content by MIKIDADI KAPAYA

  1. MIKIDADI KAPAYA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemkopesha hela, baada ya kunionjesha tunda kagoma kunilipa

    Mtoe nyamanyama za USO......ili akijitazama ktk kiooo. Eeeeee 2 mil ya dhulma Amen
  2. MIKIDADI KAPAYA

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kazi

    atasugua kwell bench!! ww ni msomi hivyo kama ajira imekuwa ngumu unatakiwa upambanue njia za kupata mtaji wako ili uendeleze maisha kwa wepesi
  3. MIKIDADI KAPAYA

    JamiiForums Tanzania Ni nini kinasababisha mtu akitekenywa anashtuka na kucheka??

    hahaha unajua jbu lake lipo kibaolojia zaidi xo tunahitaj doktori wa milango ya fahamu hasa ngoz na atueleze
  4. MIKIDADI KAPAYA

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa fizi kumumunyika na kuacha meno wazi

    Ugonjwa wa fizi kumumunyika na kuacha meno wazi, je unaitwajwe na je unatibika? Msaada wenu wadau. CC MziziMkavu
  5. MIKIDADI KAPAYA

    JamiiForums Tanzania Je una wazo zuri la biashara lakini huna mtaji? Ongea na mimi

    kwa iyo ww n 0 brain
  6. MIKIDADI KAPAYA

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Vodacom iko poa 'waliofanya ivyo ni wezi ktk mitandao Ivyo
  7. MIKIDADI KAPAYA

    JamiiForums Tanzania Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Kujiajiri ni sawa Ila sources of capital in tz is very Big issue
  8. MIKIDADI KAPAYA

    JamiiForums Tanzania Kazi ya ualimu tempo

    Ndugu yangu nakushauri:kama unataka kufundisha tempo nenda moja kwa moja katika shule zetu za kata uwasilishe maombi yako utapata kazi kwa kuwa zina upungufu wa walimu katika masomo mbalimbali.asalamalykum
Back
Top Bottom