Kazi ya ualimu tempo

Kazi ya ualimu tempo

saidhafidh

Senior Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
119
Reaction score
8
Jamani mim ni mvulan natafuta nafasi ya kusomesha japo tempo nina elimu ya BAED masom ya History na Kiswahili
 
Ulikuwa wapi wakati mulugo anatangaza ajira za walimu?
 
Ww nambie iko wap uli niombe sio kuanza kuulizana maswali mim sikua naangalia bunge huyo Mlugo nitamsikia wap?
 
Ww nambie iko wap uli niombe sio kuanza kuulizana maswali mim sikua naangalia bunge huyo Mlugo nitamsikia wap?

Dogo unaomba msaada halafu unaleta hasira? After all umeshasema wewe ni mvulana, mvulana anaweza kufundisha kweli, si bado unatakiwa uwe shule wewe unasoma?
 
Ndugu yangu nakushauri:kama unataka kufundisha tempo nenda moja kwa moja katika shule zetu za kata uwasilishe maombi yako utapata kazi kwa kuwa zina upungufu wa walimu katika masomo mbalimbali.asalamalykum
 
Back
Top Bottom