Recent content by mikeolomi

  1. M

    ITV imepotosha habari ya usiku juu ya Magufuli

    Na ww kaanzishe kituo chako upotoshe hv nyie ccm bado mna matumain kuwa mtashinda huu uchaguz duh kwel kukata roho siyo kazi rahisi
  2. M

    Masaburi na Mashaka wa CUF wachuana vikali jimbo la Ubungo

    ww ulietoa post sidhan hata kama unaish ubungo yaan laiti ungejua ambavyo hatulipendi hilo li baba lenu la ccm hilo usinge jisumbua kabisa kupost huu ujinga sisi tunachotaka kazi anayoifanya kubenea kwenye magazeti akaifanye bungeni hilo li babu lenu litafutieni sehem ya kulipeleka
  3. M

    Masaburi awakonga wakazi wa Ubungo

    Hv kuna ubungo nyingine au ni hii hii ya hapa bongo dar es salaam yaan lait ambavyo mngejua tusivo mpenda huyo baba heeeeh cjui ngoja tuendelee kusubir hiyo tarehe
  4. M

    Kwa matukio haya, lazima watu waichukie UKAWA

    Utaichukia ww mama yako mjumbe wa nyumba kumi kumi kumi nyama wewe
  5. M

    Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Geita - Septemba 23, 2015

    Hv mnadhan magufur anaichukua hii nchi nan kasema hii nchi cyo ya bongo fleva na hapa mtwara tunamsubir kwa hamu kubwa sana na hyo fiesta yake mziki tutacheza ubwabwa tutakula lakin kifo kipo pale pale kura kwa lowasa tu..
  6. M

    Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Geita - Septemba 23, 2015

    Hv linani hili linatuma mipicha ya ovyo hivi humu aaaakhaa
  7. M

    Zaidi ya wanachama wa CHADEMA 5000 wajiunga na CCM Bukoba

    Hv bado kuna mtu haamin kuwa lowasa anaichukua hii nchi
  8. M

    Dkt. Magufuli aihofia timu ya kampeni za CCM

    Hv humu bado kuna mtu haamin kuwa lowasa ndio raia ajaye bado yupo kwel
  9. M

    Confirmed: Huu ndio ukweli sababu ya Ray kigosi na Aunt Ezekiel kutoka UKAWA

    Ujumbe kwa wana ccm: kukata roho siyo kazi rahisi waachen watape tape lakin kifo kipo pale pale....!!
  10. M

    Japo sikukubali, Lowassa umenifundisha mambo makubwa 08 yafuatayo...

    Jamaa alieandika ana akili sana.... Big time brother
  11. M

    Mnyika amtetea vikali Dr.Slaa

    Safi afisa0
  12. M

    Kamanda Lowassa ndani ya Singida, Afanya mkutano Manyoni

    Mie labda niwa ambie kitu watu wa ccm hata sisi tunajua mko karibuni kukata roho na dunia nzima ina jua kukata roho siyo kazi rahisi huu ni mwaka wa mabadiliko
  13. M

    Ni dakika 5 za Lowassa

    Hv hivi vijamaa vya ccm vilivyoko mitandaoni humu huwa havina mambo ya kuelezea zaidi ya kumuekezea kidume lowasa kama baba zao wanavo mtukana lowasa kweny campaign mi labda niwa ambie kitu trein ikisha changanya ni vigumu sana kuidanda kwa mbele lakin pia si shangai kwan kukata roho siyo kazi...
  14. M

    Kutoka Mkendo: Mkutano wa kampeni wa chama cha Mapinduzi mjini Musoma

    Mara tunaijua sisi wenye Mara acha kuongopea watu mi mwenyew ubwabwa nimekula elfu 20 takoni na diamond naenda kumuona lakin kura ukawa kwani wataniona
Back
Top Bottom