Hapana ndugu! Hilo ni swali la msingi kabisa kwani latusaidia kujiandaa kisaikolojia kwa jambo ambalo linawezekana kabisa kutokea: vile vile uongozi na wanachama wote wa ccm inabidi waandaliwe kisaikologia kwa uwezekano wa kuwa kile kitu ambacho hawajawahi kuwa na uzoefu (experience) nacho...
sio jambambazi wa uchumi bali ni jangili la uchumi na fedha za umma!!! Sijui alipenyaje mpaka akaingia ndani kabisa jikoni mwa chama chetu kitukufu!!! Lazima tujue shetani kumuingiza ndani kazi rahisi, lakini kumtoa, mbinde!
Na wapinzani hao wapya machachari wakiendelea kufanya mikutano au maandamano bila vibali vya police kama walivyo zoea watapigwa tu! Na mimi nitasema: na wapigwe tu! Maana tutakuwa tumeshawachoka kabisa!!!
Ndugu yangu, hii si woga, el akiingia tu magogoni kuna vigogo watakao tumia vyoo vya ndoo bila kupitishwa mahakamani nanakuhakikishia. Iwapo alijito au alitoswa ili kuokoa kundi zima katika ile kashfa, alistahili walau kuthaminiwa lakini shukrani aliyopata ni kuitwa fisadi! Walahi nakwambia...
Mimi sipendi fisadi lakini nitamchagua EL ili akiingia magogoni amweke lupango mkulu! Nauhakika EL atafanya kama Mwanawasa alivyomfundisha adabu mtangulizi wake kule Zambia. Watz tukunje ngudo na kumchagua EL ili haki ifanyike kwa yote mkulu aliyotutendea.
Ukweli ni kwamba Watanzania ni wengi walio katika makambi na nje ya makambi huku Bondeni. Tatizo ni kwamba Afrika Kusini wako makini sana habari za Watz. kuteseka huku zisionekana kabisa kwani ni soo sana katika dhamiri zao habari za namna hiyo ukizingatia ukarimu walioupata toka TZ wakati...
Nyerere once warned, "... the sin of discriminating a group from others on the basis of tribe or religion, will never end with that particular group, rather, will continue infinitely ..."
Many South Africans are surprised that now most of the so called foreigners have been ferried to their home...
Kwa wengi wa Afrika kusini, leo wameshangazwa na fujo zinazoelekezwa kwa makabila ya wale wasioongea Kingoni.
Wanalalamika kwamb baada ya kufukuza raia wa Kigeni Afrika kusini (Xenophobia) sasa wameanza na raia wasio Wangoni (ethnic cleansing)! Makala ifuatayo toka gazeti la Daily Mail la...
In your mind such actions are satanic, but in theirs this is a perfect justice system: A judge, jurry, trial, followed with sentencing and execution of the guilty and an aquital of the innocents. Justice carried out, religious court of law in action!!!
My god almighty save us from this type of...
Watz wengi wamekuwa dhaifu sana kimwili, tunahitaji shule za namna hii za kukuza misuli na ukakamavu. Kama ni mafunza makali ya karate na judo, nami nitajiunga, sijui kujiunga kuna sharti au?
Kwa kweli huyu ni dokta wa siasa!! Ameacha watu wachimbane vijembe mpaka alipoona upepo unaelekea wapi ndipo ajifanye yeye hakuwa katika hilo!! Kwanini aachie ugomvi ufike hapo ndipo aelezee dhahiri nini karata ya serikali katika swala hili? Huyu jamaa ni mwanasiasa kweli kweli!!
Serikali ya awamu ya kwanza ilifanya mambo mawili ambayo yaligusa dini na kuzua malalamiko ya viongozi wa dini husika.
la kwanza ni lile la kufutwa kwa utiriri wa mahakama zilizokuwa wakati wa ukoloni, likijumuisha na ile mahakama ya kadhi iliyokuwa chini ya dini ya kiislamu na kuziweka zote...
This is very biased report!! Sipendi kutetea mauaji na ukiukwaji sheria wa baadhi ya viongozi wa Afrika lakini kuwe na uwiano wa kutoa taarifa na kuweka kumbukumbu sawa! Marais mbali mbali wa makaburu wa Afr. Kusini waliua si tu malaki ya Waafrika, bali pia majasusi wao walihusika kwa kuua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.