Mbunge analipwa milion 3 na laki 6, kwa mwezi, posho ya kukaa bungeni laki 2 kila siku, posho ya usafiri laki 1 na nusu kila siku, posho ya shughuli maalum za mbunge milion 7, raisi wa nchi yetu milion 32 kwa mwezi, waziri mkuu milion 26 kwa mwezi, hapo bado na posho