Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa fedha katika Taasisi za serikali zinaanza kutolewa mapema(tarehe 1 julai) bajeti mpya inatakiwa ianze kutumika tofauti na zamani ambapo mara nyingi fedha ilkuwa ikitolewa kuanzia mwishoni mwa agosti hadi mwanzoni mwa septemba.
Ushauri wangu, ukimuuliza kila mtu humu ndani atakupa sifa za divice anayotumia yeye ambayo inakidhi mahitaji yake na ambayo inaweza isikidhi mahitaji yako. Kitu cha msingi ni kugoogle aina mbali mbali za tablet kama vile ipad, samsung galaxy, htc na nyinginezo nyingi, angalia specification na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.