kweli hili jambo tusipo likemea itakuwaje? Wizara ya afya Idara ya mafunzo imekula hasara kubwa baada ya mitihani ilo kuwa inaendelea vyuoni kuvuja na kusitishwa,ili itungwe mingne tokana na hlo gharama mpya kwa sababu ya watu wachache hebu aushauriane wewe unalionaje kama mwana jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.