Nai Address kwa nani? "Stamped received by the bank" sijaelewa kidogo hapa
BoT kitengo cha malaliko nakipatia wapi? Naanzaje kuwajulisha? Physically au hata kwa email?
1. Account inasoma zero.. Hata nikiomba statement wanasema haiwezekani mpaka angalau account iwe na kitu.
2. Hakuna muamala haukukatwa sababu kila muamala nnao ufanya message inakuja na salio huwa nikicheki linapungua.
Habari WanaJF
Niende Direct kwenye mada.. Mimi ni mfanya biashara za mtandaoni mara nyingi huwa natumia CRDB Visacard kufanya malipo.
Tarehe 31/10 nililipa kiasi kama 2.8M nikapokea notification vizuri ya kiasi kilichobaki kwa account kilikuwa kama 1.2M.
Tarehe 1/11 nikataka nifanye tena...
kuna ngoma moja ya msondo ngoma naitafuta sanaa.. ipo hivi " Mapenzi yamegawanyika katika sehemu kuu mbili ninavojua mimiii.. sehemu ya kwanza ni faraja vicheko pamoja na... utadhani duniahii ndugu yote ni yako" Walamsishangaeee..... " Jama Jamaa Nauombeni sana aisee..
Me nashukuru leo wameni refund aisee.. ila naona hizi virtual card ziko bomba sana.. sema sijajua maximum amount inayoweza kuhold ni kiasi gani.. na Airtel naona ni nzuri zaidi sababu haina zile mambo za kuhamisha pesa kwa ajili ya muamala tu.. just ukiweka pesa unaituma direct...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.