Mkuu hapa kuna kitu umesema nimepata somo, Shukrani sana aisee, Mfano mimi nataka nilipe mzigo wa thamani ya 20M za kitanzania at once, Bank ipi inayoweza nisaidia kulipa Whole at once sababu most banks they limit 5M nadhani, lakini pia
Samahani mkuu kama utaweza niweka wazi hapo sababu siku 1 nilipiga simu customer care wao nilikuwa na shida zingine ila nikajaribu kuulizia hili akaruka na kuniambia hawana hii huduma, Naomba kama kuna namna au hata contact mkuu utakuwa umenisaidia mno.
Habari Wakuu, Kamakawaida mtafutaji hachoki, Leo bana nimekuja na kipengele hicho hapo juu kama heading inavyojieeza, naimani uzi huu utakuwa solution kwa wengi sana.
Mimi ni mpambanaji najitafuta nimekuwa nikihusle sana kulipia bidhaa zangu China kwa Suppliers hususani katika njia ambazo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.