Recent content by Midozenj01

  1. Midozenj01

    CRDB account haisomi

    Asante sana kwa ushauri mkuu
  2. Midozenj01

    CRDB account haisomi

    Wizi waki pumbavu sana.. Hawajui kila mteja anageneral statement ya account kichwani achilia mbali statement zao? Ngumu sana kuiba wazi wazi.
  3. Midozenj01

    CRDB account haisomi

    Jumatatu naenda tena Tawini nitaleta mrejesho
  4. Midozenj01

    CRDB account haisomi

    Nai Address kwa nani? "Stamped received by the bank" sijaelewa kidogo hapa BoT kitengo cha malaliko nakipatia wapi? Naanzaje kuwajulisha? Physically au hata kwa email?
  5. Midozenj01

    CRDB account haisomi

    Kivipi mkuu?
  6. Midozenj01

    CRDB account haisomi

    Ushauri mzuri sana.. Asante Dadake
  7. Midozenj01

    CRDB account haisomi

    1. Account inasoma zero.. Hata nikiomba statement wanasema haiwezekani mpaka angalau account iwe na kitu. 2. Hakuna muamala haukukatwa sababu kila muamala nnao ufanya message inakuja na salio huwa nikicheki linapungua.
  8. Midozenj01

    CRDB account haisomi

    Habari WanaJF Niende Direct kwenye mada.. Mimi ni mfanya biashara za mtandaoni mara nyingi huwa natumia CRDB Visacard kufanya malipo. Tarehe 31/10 nililipa kiasi kama 2.8M nikapokea notification vizuri ya kiasi kilichobaki kwa account kilikuwa kama 1.2M. Tarehe 1/11 nikataka nifanye tena...
  9. Midozenj01

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Naitaka hii ila malipo baada ya kazi.. If fresh njoo private Box
  10. Midozenj01

    Viongozi wa Mkoa wa Arusha, wilaya Karatu na Ngorongoro mna habari hii kuhusu wahemeaji jamii ya kimasai?

    Anakuhumea wewe au serikali? Kama ni wewe si hiari kumpa au kumnyima? Shida iko wapi hapo?
  11. Midozenj01

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    kuna ngoma moja ya msondo ngoma naitafuta sanaa.. ipo hivi " Mapenzi yamegawanyika katika sehemu kuu mbili ninavojua mimiii.. sehemu ya kwanza ni faraja vicheko pamoja na... utadhani duniahii ndugu yote ni yako" Walamsishangaeee..... " Jama Jamaa Nauombeni sana aisee..
  12. Midozenj01

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    mkuu.. unaweza ni DM namba zake?
  13. Midozenj01

    Alibaba Refund

    Na nilikuwa na mpango wa kuhamia equity from CRDB aisee kwa hii mbanga yako imenistaajabisha
  14. Midozenj01

    Alibaba Refund

    Me nashukuru leo wameni refund aisee.. ila naona hizi virtual card ziko bomba sana.. sema sijajua maximum amount inayoweza kuhold ni kiasi gani.. na Airtel naona ni nzuri zaidi sababu haina zile mambo za kuhamisha pesa kwa ajili ya muamala tu.. just ukiweka pesa unaituma direct...
  15. Midozenj01

    Alibaba Refund

    Sure, nitaitumia tena
Back
Top Bottom