CRDB account haisomi

Kama Ni mtu wa malipo online (POS) au unafanya mishe mishe za kukuingizia pesa mitandaoni,nenda ABSA , achana na hawa wapumbavu wa local banks, kama Jina linavyosema "local banks" , wapo local saanaa
 
Kama Ni mtu wa malipo online (POS) au unafanya mishe mishe za kukuingizia pesa mitandaoni,nenda ABSA , achana na hawa wapumbavu wa local banks, kama Jina linavyosema "local banks" , wapo local saanaa
Asante sana kwa ushauri mkuu
 
hata mimi yamenikuta hayo. kuna vipesa kidogo kwenye akaunti lakin naambiwa kiasi kilichopo ni Zero! Nimeenda leo tawini wamesema nisubiri majibu kesho. Hii benki nadhani iliondoka na Hon Kimei. Ubabaishaji mwingi sana! Kwanza ni kinyume kabisa na taratibu kunisababisha nisiweze kutumia akaunti yangu tangu tarehe 30 Oktoba 2023. Ajabu sana
 
Mleta mada hujielewi.....yaani unaenda bank unapewa majibu yasiyoridhisha na wale wa mapokezi unatoka shingo upande unakuja uku kulalamika,mbna hujiamini kabisaa...!!

Kwenye bank kuna mlango wa manager,ukienda kwa manager tatizo lako ni dogo sanaa,tena utasolviwa na walewale wa mapokezi chap kwa haraka
 
Habari WanaJF

Niende Direct kwenye mada.. Mimi ni mfanya biashara za mtandaoni mara nyingi huwa natumia CRDB Visacard kufanya malipo.

Tarehe 31/10 nililipa kiasi kama 2.8M nikapokea notification vizuri ya kiasi kilichobaki kwa account kilikuwa kama 1.2M.

Tarehe 1/11 nikataka nifanye tena malipo ya kama laki 1 na 50 nikaambiwa sina salio la kutosha.. Nikaingia SimBanking nikakuta maajabu sana

1. Kiasi halisi ni 3.98M Tzs (huwa wanachelewa kidogo kukata online paid amount).

2. Kiasi kinachopatikana 0Tzs Ilihali ilitakiwa isome ile 1.2M Tzs.

Watu wa online payment na watumiaji wa SimBanking watakuwa wamenielewa.

Nika deposite 20,000 Tzs kutoka TigoPesa ili niitumie ku request statement ajabu ikaingia na kusoma upande wa kiasi halisi ikawa 4M huku kiasi kinachopatikana still kikawa 0Tzs

Nikaenda Tawi la CRDB la karibu wamenipa very short and um awared answers ni kama vile hawa ma customer care hawaelewi tatizo langu

Nimejaribu kuskilizia kwa muda nahisi maybe ni tatizo la ki system litakaa sawa lakini wapi..

Naombeni muongozo wakuu kama hili limeshawahi tokea kwa yeyote au kama nitapata mtu wa system kunisaidia nitashukuru sana.

Asanteni sana


Kwa kweli hawa wafanyakazi wa Tanzania hawajawahu kunyosha maelezo maisha yao yote, Mimi nikikutana na similar problem nikienda kuuliza nitakaa mpaka nitaanza kutukana mpaka majibu yapatikane.

Aisee matumizi ya malipo online mimi nafanya na kadi ambayo haina savings na inakuwa na balance ya 20,000 tu, it is very risky kuwa na hela kwenye account unayotumia online.
 
Back
Top Bottom