CRDB account haisomi

Midozenj01

JF-Expert Member
Sep 21, 2014
410
385
Habari WanaJF

Niende Direct kwenye mada.. Mimi ni mfanya biashara za mtandaoni mara nyingi huwa natumia CRDB Visacard kufanya malipo.

Tarehe 31/10 nililipa kiasi kama 2.8M nikapokea notification vizuri ya kiasi kilichobaki kwa account kilikuwa kama 1.2M.

Tarehe 1/11 nikataka nifanye tena malipo ya kama laki 1 na 50 nikaambiwa sina salio la kutosha.. Nikaingia SimBanking nikakuta maajabu sana

1. Kiasi halisi ni 3.98M Tzs (huwa wanachelewa kidogo kukata online paid amount).

2. Kiasi kinachopatikana 0Tzs Ilihali ilitakiwa isome ile 1.2M Tzs.

Watu wa online payment na watumiaji wa SimBanking watakuwa wamenielewa.

Nika deposite 20,000 Tzs kutoka TigoPesa ili niitumie ku request statement ajabu ikaingia na kusoma upande wa kiasi halisi ikawa 4M huku kiasi kinachopatikana still kikawa 0Tzs

Nikaenda Tawi la CRDB la karibu wamenipa very short and um awared answers ni kama vile hawa ma customer care hawaelewi tatizo langu

Nimejaribu kuskilizia kwa muda nahisi maybe ni tatizo la ki system litakaa sawa lakini wapi..

Naombeni muongozo wakuu kama hili limeshawahi tokea kwa yeyote au kama nitapata mtu wa system kunisaidia nitashukuru sana.

Asanteni sana
 
Omba statement ya account, inawezekana kuna muamala wa nyuma hawakukata pia.
1. Account inasoma zero.. Hata nikiomba statement wanasema haiwezekani mpaka angalau account iwe na kitu.

2. Hakuna muamala haukukatwa sababu kila muamala nnao ufanya message inakuja na salio huwa nikicheki linapungua.
 
Nenda kwenye tawi lako kaonane na branch manager,
usipoelewa wapeleke mahakamani
Nilikuwaga natumia kwa ajili ya sponsored adds sahivi nimeacha kabisa
 
Habari WanaJF

Niende Direct kwenye mada.. Mimi ni mfanya biashara za mtandaoni mara nyingi huwa natumia CRDB Visacard kufanya malipo.

Tarehe 31/10 nililipa kiasi kama 2.8M nikapokea notification vizuri ya kiasi kilichobaki kwa account kilikuwa kama 1.2M.

Tarehe 1/11 nikataka nifanye tena malipo ya kama laki 1 na 50 nikaambiwa sina salio la kutosha.. Nikaingia SimBanking nikakuta maajabu sana

1. Kiasi halisi ni 3.98M Tzs (huwa wanachelewa kidogo kukata online paid amount).

2. Kiasi kinachopatikana 0Tzs Ilihali ilitakiwa isome ile 1.2M Tzs.

Watu wa online payment na watumiaji wa SimBanking watakuwa wamenielewa.

Nika deposite 20,000 Tzs kutoka TigoPesa ili niitumie ku request statement ajabu ikaingia na kusoma upande wa kiasi halisi ikawa 4M huku kiasi kinachopatikana still kikawa 0Tzs

Nikaenda Tawi la CRDB la karibu wamenipa very short and um awared answers ni kama vile hawa ma customer care hawaelewi tatizo langu

Nimejaribu kuskilizia kwa muda nahisi maybe ni tatizo la ki system litakaa sawa lakini wapi..

Naombeni muongozo wakuu kama hili limeshawahi tokea kwa yeyote au kama nitapata mtu wa system kunisaidia nitashukuru sana.

Asanteni sana
Hicho ni kipengele rafiki
 
1. Account inasoma zero.. Hata nikiomba statement wanasema haiwezekani mpaka angalau account iwe na kitu.

2. Hakuna muamala haukukatwa sababu kila muamala nnao ufanya message inakuja na salio huwa nikicheki linapungua.
Waulize ni kiasi gani uweke ili uweze pata statement , baada ya kupata angalia kama kuna issue huelewi na andika barua ya complain kabisa na hakikisha iwe stamped received by the bank, ukiona wanakusumbua kuna kitengo cha malalamiko BoT . Naamini ukipata statement wataweka mambo sawa
 
Achana na online statement, nenda benki ndani omba bank statement yako ya miezi sita mpaka tarehe ya leo au jana. Kila kitu kitaonekana hapo, transactions zote, usiende kujieleza kwa yeyote omba statement yako basi. Wengi pale benki wamepewa kazi na wajomba zao hawajui lolote. Halafu msipendelee sana transactions za online, vijana wa I.T wa benki hizohizo baadhi wana tamaa na wanashirikiana na WA Nigeria fulani, kuna siku mtakuja kuumia. Sio rahisi sana, lakini inafanyika.
 
Waulize ni kiasi gani uweke ili uweze pata statement , baada ya kupata angalia kama kuna issue huelewi na andika barua ya complain kabisa na hakikisha iwe stamped received by the bank, ukiona wanakusumbua kuna kitengo cha malalamiko BoT . Naamini ukipata statement wataweka mambo sawa

Nai Address kwa nani? "Stamped received by the bank" sijaelewa kidogo hapa

BoT kitengo cha malaliko nakipatia wapi? Naanzaje kuwajulisha? Physically au hata kwa email?
 
CRDB Matapeli sana, pesa kutoka nje ya nchi zinashikiliwa zaidi ya wiki kadhaa kabla ya kuingizwa kwenye akaunti yako. Hawatoi notification yoyote kama pesa imeingia kwenye akaunti, sijui wanataka usijue chochote ili wazipige?
 
CRDB Matapeli sana, pesa kutoka nje ya nchi zinashikiliwa zaidi ya wiki kadhaa kabla ya kuingizwa kwenye akaunti yako. Hawatoi notification yoyote kama pesa imeingia kwenye akaunti, sijui wanataka usijue chochote ili wazipige?
Wizi waki pumbavu sana.. Hawajui kila mteja anageneral statement ya account kichwani achilia mbali statement zao? Ngumu sana kuiba wazi wazi.
 
CRDB Matapeli sana, pesa kutoka nje ya nchi zinashikiliwa zaidi ya wiki kadhaa kabla ya kuingizwa kwenye akaunti yako. Hawatoi notification yoyote kama pesa imeingia kwenye akaunti, sijui wanataka usijue chochote ili wazipige?
Halafu hili lalamiko la hivi sio mara ya kwanza kulisikia transaction za online huwa ni kero crdb hajawa stablelized mfumo unazingua
 
Kuna siku mwenzangu aliibiwa laki 6 hivi hivi kijinga wakajua hawezi kujua maana haijulikani imeenda wapi hiyo pesa mpaka leo
 
Wapigie 0800008000 saivi ulete mrejesho
Ameshasema ameenda kabisa ofisini lakini hajapata majibu, hawa customer care wanakusbirisha hewan dakika 10 na wakipokea hawawezi kukusaidia maneno mengi, yani wanakutatulia tatizo kama wamekalilishwa hivi kwenye menu ukiwauliza mambo mengine ya kimfumo hawanaga majibu
 
Back
Top Bottom