Shida siyo mwaposa kuonesha mkono usio bali ni wewe kumfuatilia ndio shida. Maana hapa unampa promo tu bali kama usipomfuatilia hutajua hata madhaifu yake. Mimi huwa simfuatilii kwa maana kuna channel nyingi za dini. Hata TB Joshua marehem kwa sasa nayeye pia nilikuwa simfuatilii. Sababu ya...
Mbona ni rahisi tu, mm mtu nikikaa naye kwangu choo ambacho mm situmii ,mtumiaji ndio anatakiwa asafishe, yaan chooni anaingia peke yake af mm nifanye usafi, hata akimaliza kuofa anashindwa kudeki, haiwezekani, mm namchana nakumwambia hakikisha unasafisha choo unachotumia na sabuni nampa
Na pia hautamsikia mwamposa akisema watu watubu dhambi, nakubaliana na
mleta maada,na si mwamposa tu siku hizi mafundisho ya Toba yamepotea sana , Kila mtu anazungumzia miujiza na mafanikio ya kimwili zaid
Hapana mkuu,
Mafuriko yamepita 14/02/2022 ndio yakasababisha hali hiyo.
Mimi nilifika tarehe 15/02/2022 ili kushangaa hali ya pale mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Tunduru alikuwepo pia mheshimiwa Chiza Marando, TANROAD pia walikuwepo kuangalia uharibifu uliotokea.
Wapendwa polen na majukumu, nina sufuria za aluminium kampuni ya Andalus, sufuria hizi zikipata moshi au masizi ni namna Gani au kifaa gani kinafaa kusafishia Ili zibaki katika mng'ao wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.