Recent content by micky 00

  1. micky 00

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Nataka kuacha kazi ila nina mkopo Benki

    ungechukua milion 100 hivii ungetisha asa 35 m brooh .. usiiende jela kizembe ivoo
  2. micky 00

    JamiiForums Tanzania Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

    kijana leta vituuu ....ivooo . sema unyamaa sana
  3. micky 00

    JamiiForums Tanzania Sipendi kuoga

    Siku mbili broo 🙄 mimi namaliza wiki .. kuoga kunachosha mm nikiogaa njaa inakujaa kali sana ..
  4. micky 00

    JamiiForums Tanzania Najitolea kupambana na "Panya Road"

    Nikiwa Kama Kijana Mzalendo Hapa Tanzania Nimeamua Kujitolea Kupambana na Hawa Vijana Wapuuzi Wanao Tishia Maisha Ya Watanzania Wenzangu Nimepitia Mafunzo Ya Ugambo mwaka 2001 nikajiunga Na jeshi Mwaka 2004. Mwaka 2011 nikapelekwa Somalia kupambana na Vikosi vya ugaidi Mwaka 2016 nikaingia...
  5. micky 00

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Vyeti vya elimu na NIDA vimetofautiana majina

    Na mimi hii ishu inanitesaa kinouma ... sema nimewacheki nida nimeambiwa niende na vitambulisho vyangu ,livng chet chakuzaliwa na 20000 wanaweza wakanisaidia kuchange heref walizo ongeza kwny jina
  6. micky 00

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Vyeti vya elimu na NIDA vimetofautiana majina

    umepata solution niggah ... kwenye hii ishu ??
  7. micky 00

    JamiiForums Tanzania Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

    Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)😣😣 . . Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu) Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili Nilikuwa Naishi Vizuri Sana...
  8. micky 00

    JamiiForums Tanzania Natafuta binti wa kuuza dawa mwenye ADDO

    tunaomba namba yako ya simu tafazali tuwasiliane
  9. micky 00

    JamiiForums Tanzania Natufuta kazi (duka la dawa/ phamacy) Mbeya, Dodoma, Iringa na Singida

    yoo Asantee sanaa .... 🙌🙌🙌
  10. micky 00

    JamiiForums Tanzania Natufuta kazi (duka la dawa/ phamacy) Mbeya, Dodoma, Iringa na Singida

    Mimi nikijana wa miaka 23 nimesoma community health pia nimesoma addo dispensing Nina uzoefu wa kazi kwenye kuuza duka la dawa pia napiga kazi kweli Kwa sasa naitaji kazi mazingira hayo hapo tajwa. kama mtu ana connection ya kazi hayo maeneo naomba msaada tafazari ndugu zangu
  11. micky 00

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo Wapinga Matokeo, Wataka Uchaguzi Urudiwe, pia NEC na ZEC zivunjwe

    Nenda kadai wew iyo haki unayoitaka
  12. micky 00

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo Wapinga Matokeo, Wataka Uchaguzi Urudiwe, pia NEC na ZEC zivunjwe

    Sanaa mwanaumee we nendaa ....msijee mkaanza kutusumbua kuomba michango ya matibabu ...😎😎😎😎
  13. micky 00

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo Wapinga Matokeo, Wataka Uchaguzi Urudiwe, pia NEC na ZEC zivunjwe

    VIJANAA wenzangu msije mkajifanya mmepagawa na nyie mkaandamana na hao wana siasa ... Wewe waangalie tyuu wenyewe wafanye maandamano yao ..bado tuna vingii vyakufany kwny maisha na family ... yaani mtapigwaaa ... vibayaa sanaa yaan atakaye sapot hivi vitu hatokuja kusahau katika maisha yake kama...
  14. micky 00

    JamiiForums Tanzania Kesho Jumamosi viongozi wakuu wa CHADEMA, ACT Wazalendo kuzungumza na Waandishi wa Habari-Makao Makuu ya CHADEMA

    wajaribuuu asa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom