Mzee umeona kwenye kutembea peke ake?? VP kuongea je?? Hizo ni miongoni mwa sifa kuu za watu wa Mijini..
Ukisalimiwa salamu ijibu Kama ilivyo Halafu tembeaa..
Ukiambiwa "shwari" jibu "shwari" ...."kwema" Jibu "kwema"..."mzuka"jibu "mzuka" hakunaga stori nyingi mjini bro..
Karibu Sana Daslamu...
Hili tuwaachie watu wachuo chuo sisi yakizungumzwa yetu ya ki-primary primary tutakuja na miandiko yetu mibovu kutoa hoja....
Wanazuoni endeleeni , sorry
Na wengine wanapewa sharti la kutokusex for three years na yenyewe yanakubali what da hell in this world??? Better nkastey normal life but sio utajiri wa kishenzi hivyo.
Mshana jr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.