Naomba ushauri Mshana Jr au expert yeyote pia..Nina Raum old model nliinunua ikiwa imefungwa sport rim na nmeitumia kwa miezi Kama miwili bila kuwa na tatizo lolote upande wa wheels ila Cha kushangaza kwa takribani mwezi na kitu imekuwa na tatizo linalojirudia la kupoteza allignment kiasi kwamba...
Wakuu naomba ushauri wenu especially kwa anaejua. Nataka kununua gari kwa Mara ya kwanza, naishi Nyasa Ruvuma ambako barabara ni rough Sana. Naomba kujua gari gani dogo la bajeti rafiki linaloweza kuvumilia mazingira haya na kula mafuta kidogo?
Ipo namna nyingine kufikiria zaidi ya kusema rushwa Rushwa. CHADEMA wasipojichungiza imekula kwao,wapo wanachama wengi sana ambao hawana vyeo ndani ya chama na hwana uwezo wa kuitwa Press conference wanahama kimya kimya bila nyinyi kujua na mmebakia kuwarukia watu wachache sana(madiwani) kati ya...
MTU hufanya kilichojaza akili..nachotaka ni kitu cha muhimu nashangaa sana kuona MTU analeta shobo na ushamba wa mtandaoni. Tuheshimiane tu kwa sababu tunatofautiana sana lengo la matumizi ya social networks
MTU hufanya kilichojaza akili..nachotaka ni kitu cha muhimu nashangaa sana kuona MTU analeta shobo na ushamba wa mtandaoni. Tuheahimiane tu kwa sababu tunatofautiana sana lengo la matumizi ya social networks
Umeona mbali sana, sio tu Elimu ila naona kuna haja watanzania wafundishwe kufikiria kwa kina kwanza kabla ya kutoa criticism zenye motives na pressure Aidha ya ushabiki au kutaka kusikia wanayotaka kusikia tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.