Maeneo yenye ardhi nzuri kwa kilimo ndani ya Tanzania yetu ni Mikoa ya nyanda za juu kusini (Ruvuma,Iringa,Mbeya,Njombe na Rukwa), Hakika ni Ukanda unao kubali karibia kila Aina ya zao unalo lifaamu especially Iringa region na Ruvuma alongside Mbinga district , Mikoa hiyo kwa ujumla inaumaarufu...