Tembelea hii web kwenye upande wa real estate www.inopstanzania.com wanaweza kukutafutia kiwanja sehemu yoyote ndani ya tanzania kwa bei poaWapi Ndugu?
Wandugu narudi Tz, nije na Biashara ya bidhaa zipi zenye Soko la Uhakika Dar au Zanzibar
nina mtaji usiozidi Euro 100,000 (Tzs 200,000,000)
Je ni badhaa gani nitauza au zinahitajika toka nchi Hii?
Asanteni sana ndugu
rudi na yutong moja, route ya Dar - Moshi - Arusha haina hasara. Constant customers.
Wapi Ndugu?
rudi na yutong moja, route ya Dar - Moshi - Arusha haina hasara. Constant customers.