baada ya kumaliza chuo rafiki yangu mmoja aliniita nije nimsaidie kazi ya kuuza electronic devices pande za chuo, jamaa alikua mjasiriamali toka tupo chuoni. Kwa kuwa sikuwa na mishe nikakubali.
nikafikia kwake ambapo pamoja na mimi pia alikua amemuita ndugu yake mmoja ili tusaidiane nae...
unapaswa kutafuta msaada wa Kisheria katika hilo. Kama Hujui pa Kuanzia Nenda Mahakamani Moja Kwa Moja na Utapata Msaada Bila shaka.
JIPE MOYO MKUU, USIKUBALI HUYO MWANAMKE AKUFANYE ANAVYOTAKA YEYE, nasema MWANAMKE kwa sababu laiti angelikua Mama kwako asingefanya Upumbavu anaofanya. Kwanza...
Kisheria Mke Anayetaka Kupewa Talaka Bado ana Haki ya Kudai Mali Alizochuma akiwa na Mumewe, hata kama Yeye Ndio chanzo cha Tatizo Lililopelekea Kudai Talaka.
Sheria Haimlazimishi Mke Aendelee Kuishi na Mume Asiyemtaka Hata Kama Mume Huyo Bado Anampenda Mke Kwa Dhati. Maadamu Mmoja wao...
KUFANYIANA HILA (JAPO SI UUNGWANA) SIO JAMBO GENI KWENYE SIASA, HASA PALE UNAPOHISI MPINZANI WAKO ANAWEZA KUCHUKUA NAFASI YAKO.
LAKINI PAMOJA NA HAYO KAMA CHADEMA NI CHAMA SAFI KAMA WANAVYOJINASIBU WENYEWE BASI BILA SHAKA TAKUKURU HAWATAPATA UCHAFU NDANI YA "CHADEMA-SAFI".
Na wewe Ukiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.