Mkuu nikupongeze sana kwa moyo huo wa huruma na upendo,jinsi unavyowapigania watoto wa dada yako na kuwa na uchungu nao hata kutafuta mbinu mbalimbali za kuwanusuru hao watoto,Mungu akubariki sana na kila la kheri.
Ongea na baba yao awahamishie bweni (kama ana uwezo). Ikishindikana nenda kwa maafsa ustawi wa jamii muyajenge mtashauriana chakufanya bila kuathiri upande wowote
Ongea na baba yao awahamishie bweni (kama ana uwezo). Ikishindikana nenda kwa maafsa ustawi wa jamii muyajenge mtashauriana chakufanya bila kuathiri upande wowote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.