Naomba ushauri au msaada wa kisheria kuokoa hawa watoto

Ongea na baba yao awahamishie bweni (kama ana uwezo). Ikishindikana nenda kwa maafsa ustawi wa jamii muyajenge mtashauriana chakufanya bila kuathiri upande wowote
 
Onana na wakili kuna procedures za kufuata!

Hatuwezi kuwa tunatoa msaada mitandaoni na nyie mwende huko mjifanye wajuzi wa sheria.

Fika ofisi za wakili. Au tembelea Wakili house.
 
Back
Top Bottom