OK Mkuu, fika maeneo ya Makole hapo Opposite na CBE zipo za kutosha ujichagulie, unaweza kucheki Waridi Lodge, Simba Lodge , na nyingine za kutosha maeneo hayo.
Ni Kweli ajali ilitokea Alfajiri ilihusisha Audi black, Coaster, Toyota Voxy na Pikipiki, chanzo ni Audi ambayo Mh. Nditiye alikuwemo, gari zote zipo Central Police. I think hawakujua ni Mh. Nditiye hadi taarifa za Msiba wake zilipotolewa.
Ni Kweli Mh. Nditiye alipata Ajali Afajiri maeneo ya 88 Nzuguni. Ajali imehusisha gari 3 na Pikipiki moja. Inavyoonekana Audi ambayo Mh. Nditiye alikuwepo ilikuwa inageuza u turn, Coaster ikaigonga ubavuni, then Audi ikaenda kugonga Voxy na Pikipiki. Gari zote zilikuwa Cetral Police, ila...
Safi kabisa umemshauri vizuri sana, kwa kuongezea ni kwamba kwa kipindi cha 2002 na kama alikuwa mwalimu, mtumishi huyo alikuwa ni mwanachama wa PSPF kabla ya mifuko kuunganishwa. Kwa kuwa PSPF ilianzishwa July 1999 na kuanza kulipa mafao mwezi July 2004. Wanachama na mwstasfu wote waliostaafu...
Yes biashara ya ngada mwisho wake ni mbaya, Chonji,Tikotiko a.k.a Rasta walipigwa ambush ya maana ambayo huwezi kusepa. Kwa Tikotiko ilikuwa ukipita pale nyumbani kwake Popo...., utakuta maDCM ya kutosha yamepark na ndinga za maana zipo ndani ya Fence ya nyumba yake.
Hongera Mkuu, nafikiri maktaba Complex walishahama wamehamia Kivukoni Utumishi House kama unaelekea Ferry. Jaribu kufuatilia hii inaweza kukusaidia.Kila la kher.
Nzuri Mkuu, karibu kwenye hii field. Walimu wazuri wa hayo masomo na wazoefu ni Leonce au maarufu Babito yupo pale Mnazi Mmoja Primary school au Uende Ilala Boma Shule ya msingi kwa Rashid hao wote ni walimu wazuri utachagua mwenyewe. Pia unaweza kwenda Kwa Mkaro pale Mtendeni Shule ya msingi...
Hongera Dr Chegere,hakika wewe ni TO. Kuna jamaa yetu alikuwa anatufundsha tuition pale magomeni turiani mwisho wake haukuwa mzuri academically. The man is very bright.
R.I.P my Hero, dunia itaendelea kukumbuka kwa unamapinduzi wako. Nakumbuka shule aliyosoma uncle wangu Kizunguzi- Kilosa imejengwa na wewe. Ulijua kabisa elimu ndio nguzo ya ukombozi. MWENYEZI MUNGU ampumzishe kwa amani Shujaa.
Mkuu hiyo inawezekana ilikuwa shule ya jeshi kama niliosoma mimi. Adhabu hizo zilikuwa za kawaida, wenyewe walikuwa wanasema ikitokea umeumia watamwambia mzazi wako umeumia jeshini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.