Hii ni kama mimi pia Huwa nawakumbuka watu kwa majina yao matatu ,hata nikikutana na mtu kariakoo afu nikutane nae sehem nyingine nakumbuka,me nakumbuka hata matukio ambayo yalitokea nikiwa na miaka mitatu
Kweli kabisa mkuu, kwanza wanawake wanaishi Leo, mtu unaweza kufanya SIMP ukahudumia lengo tu upate k,na mwishowe unatumia tu kwa kutambua kuwa umetumia gharama kubwa sana then baada ya hapo mwanamke hakukumbuki kwa chochote , kifupi ni kuwa SIMP mwisho wake ni maumivu Makali na majuto na...
Kabisa mkuu me pia Huwa naamini kuwa mult micro business creates mega business and money flow, kwa mfano unaweza kuwa na saloon ambayo inaingiza 10000 tu kwa siku ila ukipambana ukafungua saloon kumi zote zikiwa zinaingiza amount hiyohiyo unapata hela nyingi tu kwa MWEZI , hata kama ni 5000 tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.