Recent content by mhuri25

  1. mhuri25

    KERO Waziri wa Afya na TAMISEMI, chunguzeni utendaji kazi wa Kituo cha Afya Kigamboni, Watumishi tunapitia mazito

    Mzee TAMISEMI ni pagumu na usifikiri hizo hela anazo DMo wako au MOI wako ndio Manaa wanakubania siku ukipewa huo uDMO au MOI hapo uiipo utalia hadi kamasi
  2. mhuri25

    KERO Wanachuo wa Mwaka wa Kwanza (RADIOLOGY) Chuo cha Nkinga wamekuwa wakilipishwa pesa ambazo washalipa

    Ulitaka vyuo vyote viwe Daslamu na vya GVT!? Nkinga ni chuo Bora sana kwa elimu na mazingira pia wana Hospitali yenye hadhi ya RRH inayotumika kama Teaching hospital na kwasasa kwakushirikiana na shirika moja la Dini wameanzisha mafunzo ya Uzamili/Ubingwa kwenye Upasuaji kana vile COSECSA...
  3. mhuri25

    Kuhama kutoka TAMISEMI kwenda Wizara ya Afya

    Hizo story Mkuu achana nazo Bahati nzuri sana nina watu wengi wanajua ni watendaji ni Wadada kama wa3 hivi maiha yao nayajua vizuri tu Narudia tena hakuna Mtendaji anaeweza mzidi Muuguzi hizo stiru sijui miradi sijui kusimamia mitihani achana nazo mambo sio rahisi kiasi hicho Mkuu
  4. mhuri25

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Annual Increment ipo na kila mtu anapata Baada ya Mwaka mmoja kama uliajiriwa Mwezi January huwa February ndio increment inakuwepo kwa kila Mwaka Daraja kama ni ajira Mpya Baada ya miaka mi5 ial mongwe ni miaka mi3 Sema Madaraja huwa kuna mambo mengi hapa katikati hadi upande kuna Mapempis...
  5. mhuri25

    Kuhama kutoka TAMISEMI kwenda Wizara ya Afya

    NDIO HAKUNA MTENDAJI ATAMPIKU MUUGUZI HATA YULE EN
  6. mhuri25

    Kuhama kutoka TAMISEMI kwenda Wizara ya Afya

    Mtendaji ampiku Muuguzi!?? Mkuu Rudi. Nyumbani Pombe zimefima kichwani sasa
  7. mhuri25

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tunaenda kuwa na April moja DUME sana WAKUu
  8. mhuri25

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Vizuri sana ksa kujali na Familia mkuu
  9. mhuri25

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Agiza kitimoto na Safari za Baridiii mkuu mwambie Waiter nakulipa tu usiwe na Wasiwasi
  10. mhuri25

    KERO Wanafunzi wa UDOM tukibaki hosteli wakati wa likizo tunalipishwa japo tumeshalipa hela ya makazi

    Zile waga wanapiga kwenye Semester weeks wanaExclude likizo Kaka tumetoka hapo 2017 na tulikuwa tunalipa vizuri tu so wewe lipa Pesa yao ubaki hapo
Back
Top Bottom