Recent content by mhuri25

  1. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nimeona sio mbaya nikale Bia zangu kadhaa afu nakuw mpole hadi tarehe 23 hapa katikati nakuwa nasingizia mambo mengi sana
  2. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Nitajuaje kama imechakatwa kupita kiasi?!!!

    Ukikuta tu sio Virgin Sema nini mkuu haya hata sio ya Maana wewe Deal na Usafi, AKILI, HESHIMA HURUMA
  3. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    HIZI NDIO tarehe za mwisho mwisho nakunywa Bia hapa Wakuu hadi Tarehe 23 aiseeh
  4. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Shule kubwa sana Chief huyu wa June 2023 na yule July 2023 inamaama mmoja ni 2027 na mwingine 2028 au nimekosea Maste
  5. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Sawa sawa Mkuu nitabonga na HR wangu anipe ufafanuzi maana kuna Raia intake ya 2021 naona ndio wamepanda huu Mwaka
  6. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Kwani moja ya Jukumu la PEMPiS si kupanda Daraja
  7. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Ninachojua Ajira Mpya huwa ni miaka mi5 regardless ni kada gani!? Ila baada ya hapo ndio miaka mi3
  8. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kuna Mwalimu mmoja ajira Mpya nahsi kabisa kanibaka maana kila nikiwaza naona sijamla kimasihara niyeye ndio alinipigia hesabu ila anasura Ngumu sana huyu Binti basi tu sijui ya Babu yake
  9. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Mwanane analia tu sahivi Huko
  10. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    CHAI
  11. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hapo NEcTA tupo Mkuu ukinikuta Bar na kishkwqmbi changu na T-shirt ya CWT na koti la mtumba tunaagiza Balimi/Safari au eagle afu tunaonekaan tarehe 22 hadi tarehe 1 hadi tarehe 22 tena
  12. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    PUMBA
  13. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Wajaze upepo Mkui
  14. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Acha story za Vijiweni Mkuu, Saaa hapo kwa Tukio la huu mjadala unaoana Dakitare kaonewa!?
  15. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Haka kajamaa kaongo sana basi tu vijistory tafikiri tupo vijiwe vya kahawa kakuna na ngumbaru wenzie afu watu wanaona TISS ni lidude sijui dude gani wakat hata kwa Seniority wako chini ya Polisi
Back
Top Bottom