MWANZA ina shida sana sana Ya Barabara zaje zote kuu za kuingia Mjini Barabara ya Kenyatta/Shinyanga road kuingia na kutoka mjini ni Moja na ulimi wa kenge Barabara ya Kenyatta/Musoma Road imechoka na haifahi kuendana na kasi ya mji kiufupi
Mbaya zaiid hiyo Nyamaga haina Alternative ya wewe...
Kwa uzoefu wangu Mdogo na nikiwa kwenye Utumishi na hii hali nimekuwa nikikutana nayo ipo hivi sijui utaratibu wa Hospitali yake ila kwaharakaharaka kama Consultation fee ni 15k hii waga ni ya GP Dakitari wa kawaida na kama aliambiwa aje siku nyingine na akamuona Dr yule yule au GP yoyote yule...
Hivi bado mpo Pale Pale Maputi sijui baada ya chuo cha Ualimu Kitangali Jengo kama darasa la Shule ya Msingi au mlisepa!? Nilifika hapo 2023 nikaona huku sipawezi!!
Huwa ni NAULI kama unaishi mbali na eneo la kazi na una familia ya watu hata 3 hivi na mkeo unaweza jikuta unakula Parefu
Sasa kama upo mwenyewe na Nauli ni chini ya 20k kama mie Go and Return ni 50k nishaacha kabisa na kuandika hiyo Barua ha Malipo naona mizinguo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.