Mzee TAMISEMI ni pagumu na usifikiri hizo hela anazo DMo wako au MOI wako ndio Manaa wanakubania siku ukipewa huo uDMO au MOI hapo uiipo utalia hadi kamasi
Ulitaka vyuo vyote viwe Daslamu na vya GVT!?
Nkinga ni chuo Bora sana kwa elimu na mazingira pia wana Hospitali yenye hadhi ya RRH inayotumika kama Teaching hospital na kwasasa kwakushirikiana na shirika moja la Dini wameanzisha mafunzo ya Uzamili/Ubingwa kwenye Upasuaji kana vile COSECSA...
Hizo story Mkuu achana nazo Bahati nzuri sana nina watu wengi wanajua ni watendaji ni Wadada kama wa3 hivi maiha yao nayajua vizuri tu
Narudia tena hakuna Mtendaji anaeweza mzidi Muuguzi hizo stiru sijui miradi sijui kusimamia mitihani achana nazo mambo sio rahisi kiasi hicho Mkuu
Annual Increment ipo na kila mtu anapata Baada ya Mwaka mmoja kama uliajiriwa Mwezi January huwa February ndio increment inakuwepo kwa kila Mwaka
Daraja kama ni ajira Mpya Baada ya miaka mi5 ial mongwe ni miaka mi3
Sema Madaraja huwa kuna mambo mengi hapa katikati hadi upande kuna Mapempis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.