Recent content by mhuri25

  1. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Kuishi nchi ya ugenini kunaniweka matatani

    Hii Tabia ya kuanza kwa kasi afu mnapotela mitini msiwe mnakuja humu ndani
  2. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Maelekezo tu Mamdogo maana hili suala linauma sana aiseeh ukiwaza ilichomoka akairudishia haraka basiiiii😭😭
  3. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Sijaoa na Sijawahi. Chapiwa nikajua
  4. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Haya Mambo yanauma sana Mamdogo basi tu wakati Mwingine ni Kuomba Neema ya Mungu iingilie tu kati
  5. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Cocastic navutiwa nawe sana!

    Sikuhizi wanatawaza vizuri Mkuu!?
  6. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    Ni mfuasi wa Yule aliepo Ukonga hawa Anguko la Tz waga wanashanglia sana
  7. mhuri25

    JamiiForums Tanzania ANAOMBA USHAURI WA KOZI YA KUSOMA

    Vigezo vinasemaje kwani mkuu nayeye kakwambia hana GPA hiyo kwanza!?? Vyuo Vya Private hata akiwa na 3.6 anasoma vizuri tu ni ahakikishe tu Ada yao anayo ya kuwalipa basii
  8. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Wewe leo hadi Ujampe Kenge wewe😂😂😂😂
  9. mhuri25

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali okoeni watumishi kwenye mikopo kupitia ESS, wengi hawana uelewa wa hii mikopo. Riba mpaka 40%

    Mkuu nielekeze ni miujiza gani Mfanyakazi wa kima cha chini atapata 3M/4M anunue kiwanja kwa mara moja au kujenga
Back
Top Bottom