Recent content by mhuri25

  1. mhuri25

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mishangazi ya siku hizi ina njaa balaa

    Sasa hadi konyagi linagongea namie nilijiweka kwenye Payroll nikaona hapa hamnamo Mtu
  2. mhuri25

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara za Mwanza, hususan Nyamagana hazina hadhi ya Jiji

    Barabara zimerudi ila ile sio mipango ya kudumu kwa mji kama ule
  3. mhuri25

    JamiiForums Tanzania KERO Mshahara wa Waganga wafawidhi wa Zahanati na vituo vya Afya hauna tofauti na wa Daktari wa kawaida, Serikali itupatie posho ya madaraka

    Kwa baadhi ya Maeneo wapo MD tu ila wengi naona wanajaza MPH
  4. mhuri25

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara za Mwanza, hususan Nyamagana hazina hadhi ya Jiji

    MWANZA ina shida sana sana Ya Barabara zaje zote kuu za kuingia Mjini Barabara ya Kenyatta/Shinyanga road kuingia na kutoka mjini ni Moja na ulimi wa kenge Barabara ya Kenyatta/Musoma Road imechoka na haifahi kuendana na kasi ya mji kiufupi Mbaya zaiid hiyo Nyamaga haina Alternative ya wewe...
  5. mhuri25

    JamiiForums Tanzania KERO Nimelipia vipimo kisha nikaambiwa nilipie tena kupewa majibu katika Hospitali ya Rufaa ya Tumbi - Kibaha

    Kwa uzoefu wangu Mdogo na nikiwa kwenye Utumishi na hii hali nimekuwa nikikutana nayo ipo hivi sijui utaratibu wa Hospitali yake ila kwaharakaharaka kama Consultation fee ni 15k hii waga ni ya GP Dakitari wa kawaida na kama aliambiwa aje siku nyingine na akamuona Dr yule yule au GP yoyote yule...
  6. mhuri25

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mishangazi ya siku hizi ina njaa balaa

    Kuna moja lenyewe linakwambia linapima Konyagi ya Buku mbili utalipia kwa Mangi nikaona hapa Hapana mkuu
  7. mhuri25

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mishangazi ya siku hizi ina njaa balaa

    Sisi tulijua msingi KIuNO na kujituma
  8. mhuri25

    JamiiForums Tanzania KERO Mpimbwe: Watumishi tulioajiriwa JUNI 2022 hatujapandishwa madaraja wala kulipwa Malimbikizo ya Mishahara

    Binafsi nimeshangaa kidogo anacho Lalamika taratibu za kiutumishi kwa Ajira mpya Pengine hazijui
  9. mhuri25

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Newala DC tunastahili kupandishwa madaraja, tunazungushwa bila sababu za msingi

    Hivi bado mpo Pale Pale Maputi sijui baada ya chuo cha Ualimu Kitangali Jengo kama darasa la Shule ya Msingi au mlisepa!? Nilifika hapo 2023 nikaona huku sipawezi!!
  10. mhuri25

    JamiiForums Tanzania KERO Mpimbwe: Watumishi tulioajiriwa JUNI 2022 hatujapandishwa madaraja wala kulipwa Malimbikizo ya Mishahara

    Mkuu unaweza nikosoa umeajiriwa 2022 leo 2026 unataka upande Daraja!? Au unataka ufanyiwe utaratibu wa kupanda Daraja sahv!??
  11. mhuri25

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashari ya Wilaya Kishapu haiwatendei haki watumishi wake katika malipo

    Huwa ni NAULI kama unaishi mbali na eneo la kazi na una familia ya watu hata 3 hivi na mkeo unaweza jikuta unakula Parefu Sasa kama upo mwenyewe na Nauli ni chini ya 20k kama mie Go and Return ni 50k nishaacha kabisa na kuandika hiyo Barua ha Malipo naona mizinguo tu
  12. mhuri25

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitamani kuoa kamwe wala kuwa na mchumba kamwe maisha yangu yote

    Sawa mkuu nenda kachukue Kadi ya Nyeto Gang
  13. mhuri25

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto tunazopitia wanafunzi wa Kozi za Afya katika Chuo cha Kolandoto College of Health Science [KCHS]

    TTC hawa sijui kama walishabadirika ndio sehemu ya Hovyo sana sana kuwahi kushuhudia
  14. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa inakuaje kwenye selection za form five kuna baadhi ya wanafunzi wamepangiwa Combination ya PMCs na hawajasoma Computer kabisa

    Ni kama vile EGM na HGE na Raia hatukuwagi soma Uchumi mahali popote Pale
  15. mhuri25

    JamiiForums Tanzania Kiinua mgongo cha 40M kwa usawa huu kweliii?

    Hapo tumepangwa kwa Kikokotoo cha sasa wengi wanachezea 18M hadi 20M
Back
Top Bottom