Embu acha upotoshaji...bunge(hao kina kibajaji,mlinga ,sugu)hawaandai bajeti bali wanaidhinisha kilichoandaliwa na wataalam wa serikali
Unadhani kama shule za serikali zingekuwa bora kama zamani watu wangeenda private?
Zamani ilikuwa fahari mtu kusoma Tambaza,kibaha,azania,umbwe kilakala...
Kwani uzalendo ni nini?nadhani kwanza ilitakiwa yule alietoa tuhuma aombwe kuleta vielelezo vinginevyo achukuliwe hatua na liwe fundisho kwa watu wengine na waliomtuma kama katumwa sasa wenye mamlaka wanapokaa kimya basi waliotuhumiwa wana wajibu wakujua tuhuma zao na kuzitolea maelezo
Ulitaka wafanye nini wakati ni saa kumi na mbili na mkurugenzi hajatoa fomu anakimbia kimbia na saa kumi na mbili alfajiri uchaguzi unaanza ?
Usiku huo fomu wangetoa wapi bila nguvu ya ziada??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.